Lumbi9
JF-Expert Member
- Oct 12, 2014
- 8,563
- 11,798
Hii mimi ishanitokea mara kadhaa hasa unapotongoza mtu huku ukiangalia body language yake huoni heri yoyote, inabidi tu ujiongeze.
Vipi kwako mdada hii unaionaje, au ndo inakuwa nafuu ya mchukuzi, na mamen wenzangu vipi ushawahi kusamehe jibu kwa sababu yoyote ile?
Vipi kwako mdada hii unaionaje, au ndo inakuwa nafuu ya mchukuzi, na mamen wenzangu vipi ushawahi kusamehe jibu kwa sababu yoyote ile?