darcity
JF-Expert Member
- Jul 20, 2009
- 8,719
- 16,932
Kwani wa vijijini hawatongozi mkuu?Hii thread imekaa ki town town ngoja watoto wa Masaki na Mbezi Beach and like waje watoe maoni yao!!
Kwani wa vijijini hawatongozi mkuu?Hii thread imekaa ki town town ngoja watoto wa Masaki na Mbezi Beach and like waje watoe maoni yao!!
Kwahio mimi wa mbagala nimepotea njia kujibu?Hii thread imekaa ki town town ngoja watoto wa Masaki na Mbezi Beach and like waje watoe maoni yao!!
Hahahaaaa!! Hata sikumbuki tena, siku hizi nishazeeka sitongozwi tena hivyo nishasahau.Haha, hebu nipe mfano wa jibu la kumkimbiza mtu
We mwanaume gani unamwambia mwanamke apunguze kupenda dushe?Punguza kupenda madushe mkuu!
Wala usihofu,nimeshakoma sitauliza tena maswali juu ya yule kidume uliempata hapa JF!!Acha iishe si ndio matumizi yake.
Alafu nimechoka kujibu maswali yako kila siku bwana.
Kama nina interest nae nitampa majibu yanye uelekeo, ila kama nehiii nampa ambalo litamfanya asirudi tena.
So Yes.
Siku hizi naona kauhuru ka kukomment hapa JF kameongezeka mkuu!...naona hata kutongoza hapa JF umeanza kutongoza kwa mbali!!..nini kipo nyuma ya pazia??....Umeachana na yule naniliu wa JF?....kila mtu amechukua hamsini zake??We mwanaume gani unamwambia mwanamke apunguze kupenda dushe?
Sio kuhusu Huyo kidume wako tu, swali lolote.Wala usihofu,nimeshakoma sitauliza tena maswali juu ya yule kidume uliempata hapa JF!!
Kwa ving'ang'anizi kama sisi hapo ndio umekuwa umewasha moto kwenye petroli! Nakomaa mpaka kinaeleweka!
Mod peleka hii post makapu forum. Necta results zikitoka hakika tutapumua. Maana hawa vijana ni shedaa!!Hii mimi ishanitokea mara kadhaa hasa unapotongoza mtu huku ukiangalia body language yake huoni heri yoyote, inabidi tu ujiongeze.
Vipi kwako mdada hii unaionaje, au ndo inakuwa nafuu ya mchukuzi, na mamen wenzangu vipi ushawahi kusamehe jibu kwa sababu yoyote ile?
Hebu naomba nikutongoze nione kama utaonyesha interestHakuna kero kama kuendelea kutongozwa na mtu ambaye humtaki, huwa tunafurahi sana mkijiongeza kuwa hamtakiwi
Hadi tukaumbwa jinsia mbili tofauti ili iweje? Tupige picha au?
Na mimi sitokuacha ivyo ivyo the way nitakavyokujibu lazima utadondosha chozi...!Kama nina interest nae nitampa majibu yanye uelekeo, ila kama nehiii nampa ambalo litamfanya asirudi tena.
So Yes.
Hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa Atoto,NEHII KARUNGAAAAAA,we mkali aisee.Kama nina interest nae nitampa majibu yanye uelekeo, ila kama nehiii nampa ambalo litamfanya asirudi tena.
So Yes.
Kabisa mrembo,sio kupiga picha ila kutendea haki hisia zetu au vipi?Hadi tukaumbwa jinsia mbili tofauti ili iweje? Tupige picha au?
Mkuu, rukia kule PM mpaka kieleweke bhana.Hebu naomba nikutongoze nione kama utaonyesha interest