nimekaa kijiweni kwa msafisha viatu, hapa stori iliyopo ni aibu, jamaa wanalalamika kuwa askari kuuliwa na mdada kwa kuchomwa kisu marambili ni aibu kwa jeshi letu. kwani jinsi tukio lenyewe lilivyo, huyo mdada kamchoma alafu kaokota kiso na kumchoma tena itakuwa vipi akiwa vitani. jamaa hawana imani kabisa na ujasiri wa jeshi letu. eti ni jeshi la gwaride tuu.
wanajamvi mnasemaje?
nawasilisha.
wanajamvi mnasemaje?
nawasilisha.