RealTz77
JF-Expert Member
- May 18, 2009
- 738
- 40
JF Dr, naomba kujuzwa hili,
Mimi nina watoto wawili, wife kafanyiwa upasuaji juzi ( Jumatano) , ila anaendelea vyema sasa, nimemwomba Dr anieleze ni lini naruhusiwa kuendelea na chakula chetu cha mke na mume?
Dr hana maelezo straight, ati hadi apone, nikauliza kwa muda gani hasa kitaalamu? akanimind namsumbua, naomba kuuliza humu kwa Dr JF nipate kujuzwa wanajamvi.
NB: Ni operesheni ya Tumbo ( km cm 20 hivi), aksanteni kwa positive msaada,
Mimi nina watoto wawili, wife kafanyiwa upasuaji juzi ( Jumatano) , ila anaendelea vyema sasa, nimemwomba Dr anieleze ni lini naruhusiwa kuendelea na chakula chetu cha mke na mume?
Dr hana maelezo straight, ati hadi apone, nikauliza kwa muda gani hasa kitaalamu? akanimind namsumbua, naomba kuuliza humu kwa Dr JF nipate kujuzwa wanajamvi.
NB: Ni operesheni ya Tumbo ( km cm 20 hivi), aksanteni kwa positive msaada,