babykailama
JF-Expert Member
- Mar 5, 2012
- 251
- 243
Mnyika ameweka wazi wizi wa Mhando na mkewe na pia Mh. Mkono na Kampuni yake bungeni. Mnyika nakusifu kwa umakini wako na ukweli wako. Na Tume iundwe ili kubaini na wengine kama wale wabunge waliohongwa ili sheria ichukuwe mkondo wake. Bodi ya TANESCO ivunjwe basi !!