MCT sasa kuipeleka TCRA Mahakamani kupata tafsiri ya neno UCHOCHEZI

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,868
Baraza la habari nchini Tanzania MCT, linajipanga kutafuta ufafanuzi wa kisheria mahakamani wa tafsiri ya makosa ya uchochezi.

Hatua hiyo inakuja kufuatia ongezeko la adhabu kwa vyombo vya habari nchini ikiwemo faini, kufungiwa na kukemewa, ambapo hii leo mamlaka ya mawasiliano TCRA imevipiga faini vituo vitano vya utangazaji kwa madai ya kurusha habari ya uchochezi.

Rejea hapa; Vituo vya runinga vyapigwa faini jumla ya Tsh. Mil 60 kwa kukiuka maadili ya uandishi na kutangaza habari za kichochezi

Nini maoni yako?
 
UCHOCHEZI si neno la wazi tu.. Linaeleweka, sasa wanataka tafsiri hadi mahakamani?

UCHOCHEZI maana yake ni

KUCHOCHEA
KUCHOCHEANA
KUCHOCHENISHA
KUCHOCHESHA
KUCHOCHEWA
KUCHOCHELEWA
KUCHOCHELESHIANA
KUCHOCHELEANANISHA

In real politics.. Ni kuchonganisha wananchi dhidi ya serikali yao..!!

Hata wakienda mahakamani hizo ndio maana yake..!!
 
Awam ya nne kulikuwa na kesi nyingi sana za UGAIDI ambazo zilifunguliwa kwa wafuasi wa chama fulani cha upinzani mikoa mbalimbali.Awam hii naona imegeuka imekuwa UCHOCHEZI ambapo wafuasi na wanachama wa chama fulani cha upinzani inawakumba pamoja na MEDIA
 
nukuuu" WAKISHATOKA KWETU WATAKUJA KWENU WAANDISHI WA HABARI" By zzk kipindi anaongea na waandishi wa habari kuhusu ukandamizaji wa democracy na uhuru wa kutoa maon
 
'The guilty are afraid' This is the reason why the government fears even cartoons and cartoonists. If this being the case, what about public awareness creation? This CCM government will end up thinking of the last option of UCHOCHEZI cases to intimidate people and hinder public awareness creation.
 
UCHOCHEZI si neno la wazi tu.. Linaeleweka, sasa wanataka tafsiri hadi mahakamani?

UCHOCHEZI maana yake ni

KUCHOCHEA
KUCHOCHEANA
KUCHOCHENISHA
KUCHOCHESHA
KUCHOCHEWA
KUCHOCHELEWA
KUCHOCHELESHIANA
KUCHOCHELESHIANENI

In real politics.. Ni kuchonganisha wananchi dhidi ya serikali yao..!!

Hata wakienda mahakamani hizo ndio maana yake..!!
Wananchi tumechonganishwa na nini,
 
Back
Top Bottom