Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 3,767
- 8,683
Hiki kipindi kimekuwa kinaleta ukakasi sana katika afya ya habari nchini. Mara nyingi kimetumika kama dekio la kusafisha watuhumiwa hasa watendaji wa serikali. Kipindi kimekuwa kinaendeshwa kwa waandaji kujipendekeza rejea zama za utawala wa JPM.
MCT na TCRA chukue hatua juu ya kipindi hiki. Je, yale madai ya kutumika kumsafisha Sabaya yana ukweli. Huyu Sasali ni mwandishi kitaaluma ama karukia fursa tu?
MCT na TCRA chukue hatua juu ya kipindi hiki. Je, yale madai ya kutumika kumsafisha Sabaya yana ukweli. Huyu Sasali ni mwandishi kitaaluma ama karukia fursa tu?