Mchungaji wangu ni heri utubu kwani uliyonifanyia yatakupeleka motoni.

sio kila dr anaetibu kwenye hospital za wakatoriki ni mkatoriki acha kukalili..afu siku nyingine uache uzwazawa unapewa bahasha ya majibu yako ya ukimwi na wewe unaipeleka hivyohivyo bila kujua kilichomo??

Ananikumbusha stori ya Uria kwenye kitabu cha biblia Wafalme aliyepewa kupeleka ujumbe wa kuuwawa kwake kwa mikono yake mwenyewe na akaauwa kweli! haya maandiko sijui kwa nini hayatufundishi hata kizazi hiki!
 
Bwana ni mwema wakati wote! usisononeke moyoni mwako, Mungu Yuko Upande Wako, jipe muda utafutwa machozi, na utasema hakika unaye Mungu, wala usifikirie kumuacha Mungu, Amekuokoa,usilie Bali Furahi, Kuwa Mchungaji Hakuondoi Sifa Ya Uanadamu, Kila Mmoja Ana Lakujibu Bele Za Bwana, Kitabu Cha Zaburi Kikawe Faraja Kwako,
 
Kama wiki tatu zilizopita niliandika Uzi ululioelezea namna nilivyopata mchumba wangu kwenye kanisa moja la kisabato na jinsi mchungaji alivyotuandikia barua ili tukampe daktari ili tupime UKIMWI kama maandalizi ya ndoa yetu mimi na huyo mchumba wangu.

Pia nilieleza zaidi kuwa baada ya kupima katika hospital moja inayomilikiwa kanisa la kikatoliki na baadaye tukapewa bahasha yenye majibu ili tukampe mchungaji kwa sharti la kutokuifungua.

Nafikili mnakumbuka kuwa baada ya kumpa mchungaji bahasha ile aliomba wazazi wetu waje na akawaambia eti Mimi nimeathirika na mwenzangu mzima hivyo ndoa hakuna.

KUMBE UKWELI NI KWAMBA:
Mchungaji wangu alinifanyia hujma ili nisiweze kufunga ndoa na binti yule kwa kile kinachoaminika kwamba mchumba wangu yule alikuwa na mahusiano na mtoto wa huyo mchungaji wa kisabato kwa muda mrefu bila mimi kujua.

Na jumamosi iliyopita ndoa yao imetangazwa kanisani huku na mimi nikishuhudia hadharani, imeniuma sana.

Kwa hiyo mchungaji wangu akishirikiana na dokta wa kikatoliki walinifanyia hujma ya kunisingizia nina UKIMWI ili tu kunitenganisha na mchumba wangu ili tu mtoto wa mchungaji aweze kumuoa mchumba wangu huyo.

Hii kitu imenisikitisha sana na nimeamini wachungaji wengi ni feki sana na ni watenda dhambi wakubwa sana.

Baba wa aliyekuwa mchumba wangu amenisimulia kila kitu kilichokuwa kimepangwa na mchungaji huyo. Ni dhambi sana.

Ni bora utubu tu mchungaji umetenda dhambi sana.
Kama unampenda kweli huyo binti

Nenda kapime tena

Kisha peleka pingamizi kanisani kupinga hiyo ndoa kufanyika

Hata ndio ikifungwa, utakuwa umemvua nguo huyo "mchungaji"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unapimaje ngoma na bahasha yenye majibu hufungui mpaka akakufungulie mchungaji?? Bila shaka umepata somo hapo. Nenda kapime tena ujue hali yako ipoje then move on. Don't dwell too much on the past
 
Sasa ulikuaje unapokea majibu unashindwa hata kufungua ndani usome alafu utafute bahasha kama hiyo unarudishia vizuuur kabisaa

Unaonekana mkuu wakati unasoma shule ya msingi ulikua ukipewa report hats kama umekua MTU wa mwisho unapeleka nyumban hivyo hivyo bila hata kuchungulia kidogo


Sent using Jamii Forums mobile app
Wengine tulikuwa tunaongeza sifuri tu. Mfano ripoti inasema umekuwa mtu wa 80 kati ya wanafunzi 80.
Basi ujue ripoti itafika inasomeka umekuwa mtu wa 80 kati ya wanafunzi 800.
Hao ndio sisi, leo ni mameneja.
 
Kijana pole kwanza shukuru mungu huwezi jua mungu amekuepusha na nini kaa chini omba mungu akupe mke mwema kingine uyo mwanamke alikuwa si anajua kuwa anatoka na uyo mchungaji kwa iyo alikuwa anakusnichi any way tuyaache ayo kaa chini angalia umekosea wapi jipange upya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dini Ni taratibu ambazo ziliwekwa na wanadamu ili kuwacontrol wengine.
Nadhani na kwako imekuwa hivyo.

Naishi maisha yangu ninayoona yanafaa licha ya kuheshimu dini niliyokuzwa na wazazi wangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwakuwa kakutenda wewe sasa ndio imekuwa ni wachungaji wengi! "Hii kitu imenisikitisha sana na nimeamini wachungaji wengi ni feki sana na ni watenda dhambi wakubwa sana".
 
Kama wiki tatu zilizopita niliandika Uzi ululioelezea namna nilivyopata mchumba wangu kwenye kanisa moja la kisabato na jinsi mchungaji alivyotuandikia barua ili tukampe daktari ili tupime UKIMWI kama maandalizi ya ndoa yetu mimi na huyo mchumba wangu.

Pia nilieleza zaidi kuwa baada ya kupima katika hospital moja inayomilikiwa kanisa la kikatoliki na baadaye tukapewa bahasha yenye majibu ili tukampe mchungaji kwa sharti la kutokuifungua.

Nafikili mnakumbuka kuwa baada ya kumpa mchungaji bahasha ile aliomba wazazi wetu waje na akawaambia eti Mimi nimeathirika na mwenzangu mzima hivyo ndoa hakuna.

KUMBE UKWELI NI KWAMBA:
Mchungaji wangu alinifanyia hujma ili nisiweze kufunga ndoa na binti yule kwa kile kinachoaminika kwamba mchumba wangu yule alikuwa na mahusiano na mtoto wa huyo mchungaji wa kisabato kwa muda mrefu bila mimi kujua.

Na jumamosi iliyopita ndoa yao imetangazwa kanisani huku na mimi nikishuhudia hadharani, imeniuma sana.

Kwa hiyo mchungaji wangu akishirikiana na dokta wa kikatoliki walinifanyia hujma ya kunisingizia nina UKIMWI ili tu kunitenganisha na mchumba wangu ili tu mtoto wa mchungaji aweze kumuoa mchumba wangu huyo.

Hii kitu imenisikitisha sana na nimeamini wachungaji wengi ni feki sana na ni watenda dhambi wakubwa sana.

Baba wa aliyekuwa mchumba wangu amenisimulia kila kitu kilichokuwa kimepangwa na mchungaji huyo. Ni dhambi sana.

Ni bora utubu tu mchungaji umetenda dhambi sana.
Omba ushirikiano toka kwa wazazi wako na wa pande mbili then nenda mahakamani kamfungulie mashtaka ya udhalilishaji maana kiukweli kakudhalilisha, uzuri ni kuwa kwa kuwa matokeo ya uchunguzi yapo, unaweza tumia hayo na pia kwenda mahakamani kudai fidia hata ya mamilion ya fedha na ukalipwa.
Nakumbuka suala lako liliwahi kumtokea dada 1 na hospital moja ya wahindi hapa town, ikaja julikana kuwa walichanganya damu kwenye vipimo na kumpa mdada majibu ambayo si yake, alilipwa 50 milion

Pia hata hyo hospital inaweza kuwa kwenye matatizo na kufungiwa. Mbona hyo ni kesi nzuri bro?

Ila kwa nini huyo mke wako mtarajiwa nae aweze kukubali kuolewa na mtu mwingine fasta hvyo? Au alikuwa hakupendi?

Demu wa namna hyo ni kumdanganya aje kwako kuongea na hasa hasa siku chache zile za hatari then unampa mimba. Akienda kuitoa unamshtaki, aone aibu ya mwaka na unamtoa kwenye gazeti

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe nae huaminiki ni hizi ngojera zako, mana kwenye ngojera yako ya kwanza ulisema ulienda kwa mchungaji kumwambia unahitaji kuoa nae akakukutanisha na huyo binti.
Sasa kama ndivo, yeye kwanini akukutanishe na binti ambaye anajua kbs ni mchumba wa mwanae alafu aanze kuunda zengwe uonekane una ukimwi ili binti aolewe na mwane??
Kwa mtazamo wangu naona wewe fanya kupita hivi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwakuwa kakutenda wewe sasa ndio imekuwa ni wachungaji wengi! "Hii kitu imenisikitisha sana na nimeamini wachungaji wengi ni feki sana na ni watenda dhambi wakubwa sana".
Kabisa mkuu na ndio maana mda mwingine huwa nafanya kaibada kangu mwenyewe home sometime ukikaa na kufikiri wanayoyafanya hawa wachungaji ni hatari tupu mkuu wachungaji wengi ni wazinzi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Omba ushirikiano toka kwa wazazi wako na wa pande mbili then nenda mahakamani kamfungulie mashtaka ya udhalilishaji maana kiukweli kakudhalilisha, uzuri ni kuwa kwa kuwa matokeo ya uchunguzi yapo, unaweza tumia hayo na pia kwenda mahakamani kudai fidia hata ya mamilion ya fedha na ukalipwa.
Nakumbuka suala lako liliwahi kumtokea dada 1 na hospital moja ya wahindi hapa town, ikaja julikana kuwa walichanganya damu kwenye vipimo na kumpa mdada majibu ambayo si yake, alilipwa 50 milion

Pia hata hyo hospital inaweza kuwa kwenye matatizo na kufungiwa. Mbona hyo ni kesi nzuri bro?

Ila kwa nini huyo mke wako mtarajiwa nae aweze kukubali kuolewa na mtu mwingine fasta hvyo? Au alikuwa hakupendi?

Demu wa namna hyo ni kumdanganya aje kwako kuongea na hasa hasa siku chache zile za hatari then unampa mimba. Akienda kuitoa unamshtaki, aone aibu ya mwaka na unamtoa kwenye gazeti

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe ulaji huu basi jamaa atafute mwana sheria mzuri aweze kumsimamia kesi yake hili aweze kulipwa fidia amedhalilishwa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom