Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa una vistory vya uongo uongo.
Bahati mbaya sina muda saa hizi ningeunga posts zako za kijinga jinga hata hazina maana.
1. Mwaanamke alikua hakupendi.
2. Inakuaje unashindwa kuongoza uamuzi wa kupima mwenyewe mpaka uendw kwa mchungaji?
Na majibu ni haki yake kupwewa na mtoa ushauri nasaha baada ya kuwapa ushauri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hafu anasingizia had watumishi ana tatizo kichwani aliwazalo mjinga ndo linalomtokea
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unaweza kukosa mke lakin ukawa tajiri, as long as walisema umeathirika na wewe una uhakika huna nenda kafungue kesi ya madai ulipwe fidia kwa kuchafuliwa jina na umpe fundisho huyo mchungaji thats all
Huyu Mchungaji sio mmoja wa wale Wasabato masalia waliotaka kwenda kupeleka NENO la Mungu Israel, bila kuwa na passport?Kama wiki tatu zilizopita niliandika Uzi ululioelezea namna nilivyopata mchumba wangu kwenye kanisa moja la kisabato na jinsi mchungaji alivyotuandikia barua ili tukampe daktari ili tupime UKIMWI kama maandalizi ya ndoa yetu mimi na huyo mchumba wangu.
Pia nilieleza zaidi kuwa baada ya kupima katika hospital moja inayomilikiwa kanisa la kikatoliki na baadaye tukapewa bahasha yenye majibu ili tukampe mchungaji kwa sharti la kutokuifungua.
Nafikili mnakumbuka kuwa baada ya kumpa mchungaji bahasha ile aliomba wazazi wetu waje na akawaambia eti Mimi nimeathirika na mwenzangu mzima hivyo ndoa hakuna.
KUMBE UKWELI NI KWAMBA:
Mchungaji wangu alinifanyia hujma ili nisiweze kufunga ndoa na binti yule kwa kile kinachoaminika kwamba mchumba wangu yule alikuwa na mahusiano na mtoto wa huyo mchungaji wa kisabato kwa muda mrefu bila mimi kujua.
Na jumamosi iliyopita ndoa yao imetangazwa kanisani huku na mimi nikishuhudia hadharani, imeniuma sana.
Kwa hiyo mchungaji wangu akishirikiana na dokta wa kikatoliki walinifanyia hujma ya kunisingizia nina UKIMWI ili tu kunitenganisha na mchumba wangu ili tu mtoto wa mchungaji aweze kumuoa mchumba wangu huyo.
Hii kitu imenisikitisha sana na nimeamini wachungaji wengi ni feki sana na ni watenda dhambi wakubwa sana.
Baba wa aliyekuwa mchumba wangu amenisimulia kila kitu kilichokuwa kimepangwa na mchungaji huyo. Ni dhambi sana.
Ni bora utubu tu mchungaji umetenda dhambi sana.
Siyo uislam tu hata kwa mpagani hawezi akasimama kwenye hadhira ya watu na kuanza kupaza sauti kwamba “huyu binti ni bikra huyu binti ni bikra” huko ni kujikweza kidini tena kishamba.UISLAAM HAURUHUSU HATA KUTANGAZA HADHARANI KUWA HUYU BINTI NI BIKRA...
Sent using Jamii Forums mobile app
Anakera sana kweli.
HafaiiiiAngalia mada zake ndio ujue akili zake! na kua anacuafuka kanisa
Acha tu ukimwi...hizo sheria mmejitungia wenyewe tu kudhalilishana...hilo kwenye uislaam haliruhusiwi...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha Naona unamfukua jamaa kumbe ni Muhun tuuVipi huyo mwanamke ni yule uliezama chumvini ukayapika?
Daaah nimetapika sana na sitaweza kusahau kamwe - JamiiForums