KURA ZA SIRI
Member
- Oct 3, 2014
- 18
- 3
Wana jf hamjambo?
Siku si nyingi hapa janvini ilikuwepo thread inayomuhusu huyu mchungaji na mwanasiasa anayemiliki kanisa la Mikocheni B assemblies of God juu ya kuwadhurumu walimu haki zao ikiwemo mishahara.
Walimu hao leo wameadhimia kumburuza kunako tume ya usuluhishi wa migogoro kazini baada ya mchungaji huyo kushindwa kuwalipa haki zao baada ya kuwaondoa kazini kienyeji bila kuwalipa termination allowances.
Baada ya walimu hao kumkomalia mwanasiasa huyo alimleta mwanasheria aliyejitambulisha kwa jina moja la Emmanuel toka mahakama kuu aliyekuja na kuwapa sababu za kitoto walimu hao kuwa hawana haki yoyote wanayodai toka kwa mwanasiasa huyo.
Mwanasheria huyo ambaye wala hakuhitaji kuwa na elimu ya chuo kikuu kujua kwamba alikiuka miiko ya kazi yake kwa kutetea maovu mara kibao katika maelezo yake alijikanganya.
Licha ya walimu hao wazalendo kesho kumburuza kunako sheria mchungaji huyu mfanyabiashara,pia walimu hao wanatoa wito jamii kushirikiana kumkemea mama huyu maana kwenye shule zake watoto wa kitanzania wanaharibiwa future;
Wakenya ndio wamejaa kama walimu na hadi sekondari wakenya wanafundisha somo la Kiswahili.
Wakenya wale licha wengi wao kutokuwa na sifa stahiki za ualimu kwa muktadha wa elimu yetu pia wengi wao ni wahamiaji haramu kitu ambacho ni hatari kwa usalama wa nchi yetu.
Siamini mchungaji tena wa kanisa la kilokole ana kashfa lukuki ikiwemo wizi wa ememe,kudhurumu viwanja vya wajane na hata walimu wake na wafanyakazi wote anawalipa mishahara hata hailingani na iliyokuwa posho yake kule BMK na mbaya zaidi inalipwa tarehe 45 kila mwezi.
Ni rahisi ngamia kupenya tundu la sindano kuliko mchungaji huyu kuingia ufalme wa mbinguni.
Siku si nyingi hapa janvini ilikuwepo thread inayomuhusu huyu mchungaji na mwanasiasa anayemiliki kanisa la Mikocheni B assemblies of God juu ya kuwadhurumu walimu haki zao ikiwemo mishahara.
Walimu hao leo wameadhimia kumburuza kunako tume ya usuluhishi wa migogoro kazini baada ya mchungaji huyo kushindwa kuwalipa haki zao baada ya kuwaondoa kazini kienyeji bila kuwalipa termination allowances.
Baada ya walimu hao kumkomalia mwanasiasa huyo alimleta mwanasheria aliyejitambulisha kwa jina moja la Emmanuel toka mahakama kuu aliyekuja na kuwapa sababu za kitoto walimu hao kuwa hawana haki yoyote wanayodai toka kwa mwanasiasa huyo.
Mwanasheria huyo ambaye wala hakuhitaji kuwa na elimu ya chuo kikuu kujua kwamba alikiuka miiko ya kazi yake kwa kutetea maovu mara kibao katika maelezo yake alijikanganya.
Licha ya walimu hao wazalendo kesho kumburuza kunako sheria mchungaji huyu mfanyabiashara,pia walimu hao wanatoa wito jamii kushirikiana kumkemea mama huyu maana kwenye shule zake watoto wa kitanzania wanaharibiwa future;
Wakenya ndio wamejaa kama walimu na hadi sekondari wakenya wanafundisha somo la Kiswahili.
Wakenya wale licha wengi wao kutokuwa na sifa stahiki za ualimu kwa muktadha wa elimu yetu pia wengi wao ni wahamiaji haramu kitu ambacho ni hatari kwa usalama wa nchi yetu.
Siamini mchungaji tena wa kanisa la kilokole ana kashfa lukuki ikiwemo wizi wa ememe,kudhurumu viwanja vya wajane na hata walimu wake na wafanyakazi wote anawalipa mishahara hata hailingani na iliyokuwa posho yake kule BMK na mbaya zaidi inalipwa tarehe 45 kila mwezi.
Ni rahisi ngamia kupenya tundu la sindano kuliko mchungaji huyu kuingia ufalme wa mbinguni.