Mchungaji Rwakatare naye atoa tamko...

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
219,470
911,173
Mchungaji Rwakatare amenakiliwa na gazeti la Uhuru linalomilikiwa na CCM akirejea kauli yenye utata ya kuwa JK ni chaguo la Mungu..........kauli hii ni tata ukizingatia upo ushahidi wa ya kuwa NEC haikufuata katiba ya JMT katika kumtangaza JK kuwa ni Raisi wetu..........Ibara ya Na. 41(5) inayoitaka NEC kufuata taratibu za sheria ya uchaguzi haikufuatwa.................................swali kwa kada wa CCM ambaye amejibanza kwenye viti maalumu ni je hivi Mungu anachagua watu ambao wanawadhulumu wapigakura haki yao ya kimsingi ya kuchagua viongozi wawatakao?

Kwa lugha nyingine, je Mwenyezi Mungu anaafiki dhuluma kwenye jamii............huyo ni Mungu wa wapi huyo? Na Mchungaji Rwakatare alikutana lini na Mungu kama siyo anajikomba kwa JK kwa kumkashifu Mwenyezi Mungu pale ambapo anapomwingizia maneno kinywani mwake ambayo hakuyasema.............

Ushauri wangu kwa Rwakatare..........mpe Kaisari yaliyo yake lakini hakikisha kwanza unampa Mwenyezi Mungu yaliyo yake na haya elezea ukweli kuwa ulijitungia..........
 
Mchungaji Rwakatare amenakiliwa na gazeti la Uhuru linalomilikiwa na CCM akirejea kauli yenye utata ya kuwa JK ni chaguo la Mungu..........kauli hii ni tata ukizingatia upo ushahidi wa ya kuwa NEC haikufuata katiba ya JMT katika kumtangaza JK kuwa ni Raisi wetu..........Ibara ya Na. 41(5) inayoitaka NEC kufuata taratibu za sheria ya uchaguzi haikufuatwa.................................swali kwa kada wa CCM ambaye amejibanza kwenye viti maalumu ni je hivi Mungu anachagua watu ambao wanawadhulumu wapigakura haki yao ya kimsingi ya kuchagua viongozi wawatakao?

Kwa lugha nyingine, je Mwenyezi Mungu anaafiki dhuluma kwenye jamii............huyo ni Mungu wa wapi huyo? Na Mchungaji Rwakatare alikutana lini na Mungu kama siyo anajikomba kwa JK kwa kumkashifu Mwenyezi Mungu pale ambapo anapomwingizia maneno kinywani mwake ambayo hakuyasema.............

Ushauri wangu kwa Rwakatare..........mpe Kaisari yaliyo yake lakini hakikisha kwanza unampa Mwenyezi Mungu yaliyo yake na haya elezea ukweli kuwa ulijitungia..........

Jamani tumuache mama wa watu ana haki ya kutoa shukrani kwa uteuzi wake, nadhani atakuwa kajichanganya kidogo si unajua ulimi hauna mfupa?
 
Huyo hawezi kuwa mchungaji ila mganga njaa tuu maana hata bibilia hairuhusu mwanamke kusimama mbele ya mimbari je akiwa kwenye siku zake aweze ccmama? je siasa na dini tangu lini? je kama yeye ni mchungaji vipi shule zake zi ghali hivyo? anaweza saidiaje watoto wanao ishi ktk mazingira magumu? hivyo aende zake kwenye biashara zake tu aache uongo
 
tena huyu akae kimya kabisa ..asije nifanye nitapike soseji zangu nilizokula asubui mie
 
hapo alipo katika siasa kamfikisha jk unategemea nini??:redfaces:


huyo mama watu wengi hawajamfuatilia tu, lakini ni product ya ufisadi iliyojificha kwa mgongo wa kanisa.
1. Shule zake za saint mary's anawadanganya wafadhili kwamba anawasomesha watoto yatima wakati sio kweli, hao watoto yatiama idaadi yao na misaada anayopewa ulaya havilingani.
2. Ni mtumishi wa mungu gani huyu!? Kama sio kumkufuru mungu? Uliza mtu yeyote aliyekuwepo morogoro wakati wa kura za maoni za viti maalum upande wa ccm, hichi kimama ndio kilikuwa kinaongoza kwa kutoa rushwa wazi wazi. Huu sio udaku ni fact.
hitimisho: Huyu mama si mtumishi wa mungu bali shetani na kazi. Lile kanisa na zile shule hizo ni ngo zake full stop.
 
huyo mama watu wengi hawajamfuatilia tu, lakini ni product ya ufisadi iliyojificha kwa mgongo wa kanisa.
1. Shule zake za saint mary's anawadanganya wafadhili kwamba anawasomesha watoto yatima wakati sio kweli, hao watoto yatiama idaadi yao na misaada anayopewa ulaya havilingani.
2. Ni mtumishi wa mungu gani huyu!? Kama sio kumkufuru mungu? Uliza mtu yeyote aliyekuwepo morogoro wakati wa kura za maoni za viti maalum upande wa ccm, hichi kimama ndio kilikuwa kinaongoza kwa kutoa rushwa wazi wazi. Huu sio udaku ni fact.
hitimisho: Huyu mama si mtumishi wa mungu bali shetani na kazi. Lile kanisa na zile shule hizo ni ngo zake full stop.

Una uhakika na haya....................labda ndiyo maana aona heri afanye hizi kufuru ili JK na serikali yake ya kifisadi isije kumgeuzia kibao.............
 
Kwanza atwambie pesa zinazotumwa na waisani kwa ajili yakusomesha watoto wasiokuwa na uwezo zinaenda wapi je hiyo shule ya st Marry's ilianzishwa kwa misingi hipi??je kuna watoto wangapi hapo kwake wanaosomeshwa bure??wakati niyakusaidia wasiojiweza!mbona sasa ndiyo inaongoza kwakulipisha ada kubwa?/wakati niyakidini kwa ajili ya kusomesha wasiyojiweza!!yeye kafanya mradi kodi halipi watoto wanaosomeshwa mayatima ukiesabu tangu ifunguliwe sijui kama wamefika 100!!:embarrassed:
 
Nilikuwa natazama Taarifa ya Habari ya Saa mbili ITV,, nikashangaa kusikia Walokole wa Mama Rwakatale wakisema Wanamshukuru Mungu kwa kuweza kutoa baraka zake kipindi chote cha uchaguzi kwa kufanikisha uchaguzi wa Huru na Wahaki,,

Mimi sina tatizo kwa kupitisha misa ya shukurani kwa Mungu kwani hakukuwa na riots na maandamano ya kijinga kwani uchaguzi umekwisha Salama lakini Hofu kubwa ipo kwenye Haki hapa..

Hivi nikweli hawa walokole wanajitambua kweli kabisa jamani
Nahisi hawajitambui na wala hawajui kuwa Tanzania ninini kinaendelea kuhusu uchaguzi huo
 
Uyu mama ngoja tuje tupate raisi wa ukweli tutaanza kagua shule zake na kisingizio cha kusomesha yatima rushwa lioitoa kupata viti maalum kule Moro
 
KULINGANA NA MAANDIKO MATAKATIFU MAMA RWAKATARE SIYO MCHUNGAJI . ANACHOFANYA MAMA RWAKATARE NI KUPINGANA NA NENO LA MUNGU. KWA HIYO ANACHOONGEA NI PUMBA TUPU. RAIS KIKWETE ATAKUWAJE CHAGUO LA MUNGU WAKTI AMEINGIA KWA KURA ZA WIZI? ASIDANGANYE WATU HAPA. PAMBAF KABISA! SINA HAKIKA KAMA ANA MUME.

BIBLIA INASEMA ,''SIMPI RUHUSA YA MWANAMKE KUFUNDISHA WALA KUMTAWALA MWANAMME............''.....MWANAMKE NA ANYAMAZE KATIKA KANISA..........''KAMA KUNA NENO NA AMWULIZE MME WAKE NYUMBANI MAANA NI AIBU KWA MWANAMKE KUNENA NDANI YA KANISA.....'' TUNASOMA BIBLIA TAKATIBU KUTOKA VITABU VYA 1 TIMOTHEO 2:11-14 NA 1 CORINTHIANS 14:34-38...

1 TIMOTHY 2:11-15

[11] Let the woman learn in silence with all subjection.
[12] But I suffer not a woman to teach, nor to usurp authority over the man, but to be in silence.
[13] For Adam was first formed, then Eve.
[14] And Adam was not deceived, but the woman being deceived was in the transgression.
[15] Notwithstanding she shall be saved in childbearing, if they continue in faith and charity and holiness with sobriety.

1 CORINTHIANS 14:34-37

[34] Let your women keep silence in the churches: for it is not permitted unto them to speak; but they are commanded to be under obedience, as also saith the law.
[35] And if they will learn any thing, let them ask their husbands at home: for it is a shame for women to speak in the church.
[36] What? came the word of God out from you? or came it unto you only?
[37] If any man think himself to be a prophet, or spiritual, let him acknowledge that the things that I write unto you are the commandments of the Lord.
 
Nashangazwa na kitu kimoja tu kutoka kwa huyu mama.
Siasa na Uchungaji ni vitu viwili tofauti lakini yeye sijui vp!!
 
nilikuwa natazama taarifa ya habari ya saa mbili itv,, nikashangaa kusikia walokole wa mama rwakatale wakisema wanamshukuru mungu kwa kuweza kutoa baraka zake kipindi chote cha uchaguzi kwa kufanikisha uchaguzi wa huru na wahaki,,

mimi sina tatizo kwa kupitisha misa ya shukurani kwa mungu kwani hakukuwa na riots na maandamano ya kijinga kwani uchaguzi umekwisha salama lakini hofu kubwa ipo kwenye haki hapa..

hivi nikweli hawa walokole wanajitambua kweli kabisa jamani
nahisi hawajitambui na wala hawajui kuwa tanzania ninini kinaendelea kuhusu uchaguzi huo

hapo hakuna walokole nasikia wanawake wa hilo kanisa wanavizia waume za wenzao huko kanisani na wanawafuatilia maofisini kuomba misaada wakiwa wamejipamba bila kuwajulisha wake zao. Hawajitambui kwa lolote
 
KULINGANA NA MAANDIKO MATAKATIFU MAMA RWAKATARE SIYO MCHUNGAJI . ANACHOFANYA MAMA RWAKATARE NI KUPINGANA NA NENO LA MUNGU. KWA HIYO ANACHOONGEA NI PUMBA TUPU. RAIS KIKWETE ATAKUWAJE CHAGUO LA MUNGU WAKTI AMEINGIA KWA KURA ZA WIZI? ASIDANGANYE WATU HAPA. PAMBAF KABISA! SINA HAKIKA KAMA ANA MUME.

BIBLIA INASEMA ,''SIMPI RUHUSA YA MWANAMKE KUFUNDISHA WALA KUMTAWALA MWANAMME............''.....MWANAMKE NA ANYAMAZE KATIKA KANISA..........''KAMA KUNA NENO NA AMWULIZE MME WAKE NYUMBANI MAANA NI AIBU KWA MWANAMKE KUNENA NDANI YA KANISA.....'' TUNASOMA BIBLIA TAKATIBU KUTOKA VITABU VYA 1 TIMOTHEO 2:11-14 NA 1 CORINTHIANS 14:34-38...

1 TIMOTHY 2:11-15

[11] Let the woman learn in silence with all subjection.
[12] But I suffer not a woman to teach, nor to usurp authority over the man, but to be in silence.
[13] For Adam was first formed, then Eve.
[14] And Adam was not deceived, but the woman being deceived was in the transgression.
[15] Notwithstanding she shall be saved in childbearing, if they continue in faith and charity and holiness with sobriety.

1 CORINTHIANS 14:34-37

[34] Let your women keep silence in the churches: for it is not permitted unto them to speak; but they are commanded to be under obedience, as also saith the law.
[35] And if they will learn any thing, let them ask their husbands at home: for it is a shame for women to speak in the church.
[36] What? came the word of God out from you? or came it unto you only?
[37] If any man think himself to be a prophet, or spiritual, let him acknowledge that the things that I write unto you are the commandments of the Lord.


Mkuu Makoye umeongea bonge la point.
Ningekugongea thanks lakini kwakuwa wewe huna utamaduni wa kubofya hicho kitufe cha thanks, basi.
 
Mkuu Makoye umeongea bonge la point.
Ningekugongea thanks lakini kwakuwa wewe huna utamaduni wa kubofya hicho kitufe cha thanks, basi.

Thanks Ndibalema,

Nimekupata vizuri kabisa. Next time nitabofya. Lakini huo ndio ukweli kumhusu huyu mama Rwakatare.
 
Mimi namsikitikia mama Lwakatare anakokwenda siko. Nami kama muumini najitolea kumuombe aili ajue njia ya kweli maana anaenda upotevuni. Maana misingi ya Biblia anayo iamini haifuati.
Mathalani Biblia inasema huwezi kutumikia Mabwana wawili maana utampenda huyu na kumuacha huyu...Huwezi kutumikia Mungu na Male Sasa yeye sijui yuko wapi hapo. Tensa Mwanamke amepewa utaratibu wa kuenenda. Sasa hapo napo sijui tusemeje?
Ushauri wangu kwa mama Lwakatare..........ampe Kaisari yaliyo yake na Mwenyezi Mungu yaliyo yake
 
Back
Top Bottom