Mchungaji Getrude Rwakatare amrithi marehemu Salome Mbatia

Ebwana wee kweli quick mover....talk about MWANAKHAMISI nilisikia MUDI PANKI aliamua kuchukua jumla jumla wakati JULIE MZUNGU kaka yake LINA mzungu pale jirani na kwa majungu ndio hivyo tena...hivi bado wanaendelea kufuga nguruwe pale? Omari sico nasikia yuko unyamwezini wakati pale kwa akina MTWATA nasikia kumekuwa baaa....chili makubeli naye nasikia yuko London na mfaume kimario nasikia naye yuko Unyamwezini...unajua lile gorofa la kwa majungu lilikuwa linaitwa TITANIC kama lile gorofa la Mtikila kule karibu na shule ya Ushindi

Hilo la darusi kuwa GHAY au GAY bado nashindwa kuswallow maana maishani kwangu sijawahi kuona kijana wa kichagga ambaye kawa shoga na kwa kweli hata sijui lawama apewe nani...haya vipi akina CLAIRE na SHUBIRA wale watoto wa pilot jirani na kwa akina Darusi wapo? Unamkumbuka HAMIDU MACHUPA mdogo wake OSCAR? ebwana jamaa nilikutana naye Brazil japo watu Bongo wanajua yuko South Africa...na sikuhizi anaitwa DLAMINI! je unamkumbuka Abdallah Mwenda?

Back to topic:

Mbona hujaleta za akina Humphrey na Tibe? vipi ulionana na
Rose? mwanzo nilisema kuwa alikuwa anafanana na Faith Evans nilikosea...actually Rose alikuwa anafanana na Tisha Campbell wa kwenye ile comedy ya Martin

Aibu kubwa, hapa si mahali pa kukata michapo kama hii. Admin please do the needful.
 
Ni watu wachache wanaoweza ku-appreciate jitihada na mafanikio ya Mch. Dkt. Lwakatare. Mimi nikiwa kama mtanzania ninampongeza sana Mch. Dkt Lwakatare kwa kuteuliwa kuwa mbunge wa viti maalum. Mwenyezi Mungu azidi kumbariki na kumwongezea moyo wa upendo.
Wapo wengi waliokuwa na pesa zao wakaamua kufanya biashara mbalimbali, lakini Mch. aliamua awekeze katika elimu, tena elimu ya watoto ambayo ndiyo urithi mkubwa kuliko urithi mwingine wowote.
Kwa jitihada zake, ana hudumia watoto yatima wapatao 2000 (naweza kusahihishwa) kuanzia malazi, mavazi, chakula na elimu. Wapo wengi wenye nafasi zao lakini hawajaweza hata kupita mahali kuwaombea msaada japo mtoto yatima mmoja.
Kwa vile hapa JF tunadhani kuongea ni rahisi, lakini tunasahau kwamba mwenye maneno mengi si mtendaji.
Kabla hujamsakama Mchungaji, jiulize, je wewe nafasi yako ni ipi katika jamii na umeifanyia nini jamii hiyo.
Kwa mara nyingine, nakutakia kila la heri Mchungaji Dkt Lwakatare.

Pundamilia,
Sita challenge unachosema. Inawezekana ni kweli kabisa huyu mama anafanya hayo yote unayosema na mengine mazuri zaidi. Lakini pengine wewe unajua shughuli zake za sasa hivi zaidi. Mimi najua alikotoka. Najua toka alivyoanzia kwenye maisha ya one bedroom apt pale Ilala flat mpaka kuwa na nyumba kila mtaa pale mikocheni B. Kifupi ni kwamba, mama Rwakatare amecheza faulo nyingi kufika alipofika. Kibaya zaidi amecheza hizo faulo kwa kupitia kivuli cha "utumishi" wa Mungu. Anachofanya sasa hivi ni ku-turn dirt money into good one. So far so good.
 
Huyu mama kwa sisi wanaomjua kwa karibu, ni mfanyabiashara wa hali ya juu. Ana ma.NGO's kibao ambayo hayalipi ushuru kwa serikali na yanamuwezesha kumapa dollars kibao ili kuyaendesha lakini kinachofanyika ni huyu mama kuendelea kufungua office zake binafsi kila mkoa. Wafadhadili wa shule zake kuna kipindi walilalamika kwamba walishasaidia huyo mama kupitia mashirika hayo ya dini pesa nyingi za kuwezesha kujenga shule bora kwa mikoa mingi ya Tanzania, lakini zinazojulikana ni hizo St.Mary na nyingine sijui zipi. Mama huyu aliwahi hata kumuamuru binti wake aondoke USA arudi TZ kwa ajili ya kuendesha biashara hizi kwa kuwa aliona huku USA anapoteza muda tu. Lakini kumbe alitaka bintiye huyo ataover uongozi wakati yeye anaingilia siasa ili alinde siri zake jinsi anavyotafuna hiyo mipesa.
Kwa uhakika tunamjua sana kuwa ni mama wa mjini ambaye pamoja na kuendeleza udini bado mume wake wa kihaya alimwacha kwasababu mama aliingiliwa na jinamizi la ufusika. Hiyo si issue ila issue ni kwamba biashara+dini+siasa= naomba jibu.
 
Kwa mtiririko wa thread hii, mtazamo wangu mie YNIM.....mama huyu ni mwizi, mwongo,guberi, mwenye uchu wa madaraka na mali,mzushi na mwenye kujificha kwenye kivuli cha dini ili kufanikisha malengo yake........ kwa neno moja mama huyu ni FISADI!!!!.

Hili ndio tatizo la bwana JK, hivi ni kwanini anapenda sana kukumbatia watu waliopinda kimaadili(maadili ya kila namna)??? Mie sijui ndio maana nimeuliza!!!.
 
Kwa uhakika tunamjua sana kuwa ni mama wa mjini ambaye pamoja na kuendeleza udini bado mume wake wa kihaya alimwacha kwasababu mama aliingiliwa na jinamizi la ufusika

Yote tisa, hapa tu ndio kumi, maana hata Kigogo anayejifua naye tunamjua ndio maana amepewa tu bure, tena inashangaza kuwa imemchukua muda mrefu hivi, labda huyo kigogo alikuwa hamuamini huyu mama!
 
Kwa uhakika tunamjua sana kuwa ni mama wa mjini ambaye pamoja na kuendeleza udini bado mume wake wa kihaya alimwacha kwasababu mama aliingiliwa na jinamizi la ufusikaYote tisa, hapa tu ndio kumi, maana hata Kigogo anayejifua naye tunamjua ndio maana amepewa tu bure, tena inashangaza kuwa imemchukua muda mrefu hivi, labda huyo kigogo alikuwa hamuamini huyu mama!

JF kiboko, jamani sielewi elewi hapo inamaana huyu mama anayeongoza kondoo wa bwana kwenye ile department naye anatisha? Wekeni wazi basi anajirusha na KIGOGO yupi? na lile umbile lake nadhani sasa atapasuka kama mwenzake Mkapa..
 
Field Marshal ES
Taratibu mkuu. Hii ya mh mbunge dr. mchungaji kujirusha na kigogo nadhani ulikuwa anatania, tu au siyo mzee? Maana siwezi ku-imagine yule mama anawezaje kujirusha!
 
jamani hilo la kujirusha kama binadamu ni kawaida ..ili mradi hachukui mabwana za watu..anyway ingekuwa mfano bora kama mtumishi wa bwana akirudiana na mume wake..kwa kuwa hatumuelewi..kama hana mume na ni binadamu mwenye hisia ..hatachelewa kujirusha na dereva au..anyway kafanya kosa kubwa sana atakalojutia kujiunga siasa..unajua kumuumbuua mtumishi wa mungu inataka moyo ...lakini ukija kwenye anga za kisiasa tutakuchambua kama mwanasiasa ..utumishi wako tunaweka kando...hatukuangalii usoni!!!!
 
The next question ni je huyu mama RWAKATARE hatotumia nafasi yake kama mchungaji kundeleza UDINI kwenye mamabo ya kiserikali?

Je SHEIKH MBUKUZI au PONDA ISSA PONDA au SHEIKH BAWAZIR nao wakiteuliwa JF itakuwa kimya namna hii?


Inamaana kulikuwa hakuna akinamama wengine ambao wnanafasi ya kielimu na kadhalika mpaka ateuliwe huyu PADRE?

Something is wrong with our country na hasa pale tunapoteua ma religious fanatics ndani ya Serikali

Hii inatisha na nasubiri kwa hamu nakala ya MWNAKIJIJI kuhusu hili
 
JF ama kweli ni kiboooookooooo hata usalama wa taifa naona hawana data za watu kama humu......hasa watu maaruf!!!!mwee kina sie tusiojulikana ni bora tuendelee kuwa chini tuuu as siku ukiibuka tuu file lachimbuliwa hata sijui data huwa zatoka wapi
 
Taratibu mkuu. Hii ya mh mbunge dr. mchungaji kujirusha na kigogo nadhani ulikuwa anatania, tu au siyo mzee? Maana siwezi ku-imagine yule mama anawezaje kujirusha!

Hamna siri ya watu wawili mkuu wangu, na hapa mjini wala sio siri labda huko majuu!
 
jamani hilo la kujirusha kama binadamu ni kawaida ..ili mradi hachukui mabwana za watu..anyway ingekuwa mfano bora kama mtumishi wa bwana akirudiana na mume wake..kwa kuwa hatumuelewi..kama hana mume na ni binadamu mwenye hisia ..hatachelewa kujirusha na dereva au..anyway kafanya kosa kubwa sana atakalojutia kujiunga siasa..unajua kumuumbuua mtumishi wa mungu inataka moyo ...lakini ukija kwenye anga za kisiasa tutakuchambua kama mwanasiasa ..utumishi wako tunaweka kando...hatukuangalii usoni!!!!

Hili swala la kujivinjari na "mkubwa" kwa kweli silijui. Ninachojua kuwa enzi hizo (wakati kanisa lake bado changa) kulikuwa na tetesi kwamba alikuwa na katibia ka kulala na baadhi ya waumini wake. Kulikuwa na dereva wake mmoja alikuwa anaitwa Adam. Inasemekana huyu dereva, sio tu alijua siri za michongo yote ya huyu mama, bali pia alikuwa anapata mchezo kiainaa,

Kuhusu suala la kurudiana na mzee Rwakatare, sidhani kama ingewezeka. Huyo mzee alisha move on. Baada ya kuachana na mchungaji, alivuta kimwana mwingine na kuendeleza uongezaji wa population ya TZ.
 
Hili swala la kujivinjari na "mkubwa" kwa kweli silijui. Ninachojua kuwa enzi hizo (wakati kanisa lake bado changa) kulikuwa na tetesi kwamba alikuwa na katibia ka kulala na baadhi ya waumini wake. Kulikuwa na dereva wake mmoja alikuwa anaitwa Adam. Inasemekana huyu dereva, sio tu alijua siri za michongo yote ya huyu mama, bali pia alikuwa anapata mchezo kiainaa,

Kuhusu suala la kurudiana na mzee Rwakatare, sidhani kama ingewezeka. Huyo mzee alisha move on. Baada ya kuachana na mchungaji, alivuta kimwana mwingine na kuendeleza uongezaji wa population ya TZ.

mzee kabla ya waumini wake alianza na yule dereva wake ADAM ambaye aliona isiwe tabu bure na akamua kuuacha na huo UISLAM wake baada ya kupata akili ya kuachana na dini inayokataza mambo ya kula kiti moto na mengineyo aliyekuwa anaendesha ile TOYOTA HILUX double Cabin ya Njano au blue kama sikosei hii haina siri hata kidogo

Yote hayo tisa mimi bado namvyulia kofia yule mama kwa ku HUSTLE hivi unajua hata mama yale NAMBUA (RITA MLAKI) haoni ndani pale?

Kwa msie mjua mama mwenyewe huyu hapa:

c&



na siku za nyuma huyu mama aliwahi kufunguliwa kesi na NSSF

Employer sued for failure to remit NSSF deductions
2006-05-05 08:21:18
By Hannah Mwandoloma

National Social Security Fund (NSSF) has filed a case against the Director and owner of St. Mary's International Academy, Reverend Getrude Rwakatare, accusing her of failing to remit workers' contributions to the Fund.

She has not remitted about 129.5m/- between June 2004 and January this year, according to the charge sheet.

The case was filed at the Kisutu Resident Magistrate Court last month.

St Mary's International Academy, which is located at Mbezi Beach in Kinondoni Municipality, is registered with NSSF.

Rev Rwakatare, as a contributing employer number 665495, was discovered on March 16 by NSSF to have not registered her 294 employees with the Fund or pay any amount to NSSF, between June 2004 and January 2006.

NSSF's lawyer, Crispine Meela who filed the case claimed that by failing to register her employees, Rev. Rwakatare did not only cause a loss of 129,585,432/-, but also the records of her 294 employees were nowhere to be found anywhere on the NSSF data base.

The court has summoned Rev Rwakatare to appear before it on May 30 to answer the charges.
http://www.ippmedia.com/ipp/guardian/2006/05/05/65730.html
 
Jamani kwa sasa anajirusha na yule aliyekuwa mwenye Silent Club pale Mwenge ambaye pia ni muumini mmojawapo wa kanisa lake!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom