Mwanamena
JF-Expert Member
- Feb 4, 2020
- 1,107
- 1,341
Everything is a business. Kuna ambalo huwa halifanyiki mtu akifa hapo. Kuna wachonga jeneza, wauza mbao, wauza vitambaa, marumaru, cement, maua ya mataji, mishumaa, Michele nyama n.k.Hii nikukosa ubinaadam kabisa,MTU amefariki unampigia hesabu ya fedha na watu kunufaika!!
Uko sahihi, msiba wowote biashara inafanyika utake usitake
Sent using Jamii Forums mobile app