me nimeanza kukosa imani naye!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Tena ukikaa vibaya atakupiga bao huyu babu,maana unaonekana muoga,unamuogopa,wakati ni mkombozi aliyetumwa na Mungu kufanya kazi ya mungu!!
Ukiwa na imani nae, ukikosa imani nae huta zuia uponyaji, You are just a useless creature, :lol:Ushindwe na Ulegeeeeeee!
Hii ndio napinga kila siku. Jibu hoja sio kutukana! You call somebody 'USELESS'! What do u mean? Mkosoe kwa hoja!