johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,832
- 141,749
Mchungaji Msigwa ambaye ni mbunge wa Iringa mjini amesema alishawishiwa na mgombea urais wa TLP mwaka 2000 kuingia kwenye siasa.
Up dates;
Mchungaji Msigwa anasema baada ya kumpigia kampeni Mrema aliachana na siasa na kujikita kwenye mambo ya Kanisa.
Mwaka 2005 Chadema walimwomba agombee udiwani kata ya Gangilonga lakini mzee Mrema alimwambia level yake siyo udiwani ila ubunge hivyo akagombea ubunge ambapo aligaragazwa na mama Monica Mbega.
Up dates;
Mchungaji Msigwa anasema baada ya kumpigia kampeni Mrema aliachana na siasa na kujikita kwenye mambo ya Kanisa.
Mwaka 2005 Chadema walimwomba agombee udiwani kata ya Gangilonga lakini mzee Mrema alimwambia level yake siyo udiwani ila ubunge hivyo akagombea ubunge ambapo aligaragazwa na mama Monica Mbega.