Aibu ya Msigwa...aibu yeenu??
Msingi wa kesi yote ni CHADEMA; Msigwa alipatikana ha hatia akiwa kazini kwa CDM akitimiza majukumu yake kama Mbunge na Mjumbe wa kamati kuu ya chama - Je nyie mnaojiita wana ndugu mliwasiliana ba chama chake kabla hamjafikia hayo maamuzi yenu?
Ndiyo hivyo sasa..umeshaambiwa kwamba mambo ya kifamilia hayanaga press conf...(Matangazo)
Poleni....hope next time ntakuwa makini kudandia train kwa mbele wakati limeshashika kasi.
Msingi wa kesi yote ni CHADEMA; Msigwa alipatikana ha hatia akiwa kazini kwa CDM akitimiza majukumu yake kama Mbunge na Mjumbe wa kamati kuu ya chama - Je nyie mnaojiita wana ndugu mliwasiliana ba chama chake kabla hamjafikia hayo maamuzi yenu?
Ndiyo hivyo sasa..umeshaambiwa kwamba mambo ya kifamilia hayanaga press conf...(Matangazo)
Poleni....hope next time ntakuwa makini kudandia train kwa mbele wakati limeshashika kasi.