Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,549
- 217,825
Haya Hapa
Yuko kama Pengo tu.Peter Msigwa ni mchungaji wa nini?
Ni wakondoo hata wale waliopotea, na ameweza kuwarhdisha wengi kundini.Peter Msigwa ni mchungaji wa nini?
Anakwenda kutukumbisha siku ina masaa 48. Sasa huyo alikuwa mwalimu. Tutegemee nini kwa wanafunzi walio pita mikononi mwake? Kina Lugola
Thubutu!Yuko kama Pengo tu
Hahahaaaa! Umenikumbusha Jafo na Mwigullu!
Swali duni sana!Hivi Uchungaji wa Msigwa huwa ni kisiasa au kikanisa?
Msigwa alikuwa muuza mitumba pale Miyomboni, alivyokuja Mrema ndio akawa anamuita kiutaniutani " mchungaji " na jina hilo likaeneaHivi Uchungaji wa Msigwa huwa ni kisiasa au kikanisa?
Hebu leta jibu ili tuone uduni wa hili swaliSwali duni sana !
Kwa Mzee kama wewe ni aibu sana kuwa muongo.Msigwa alikuwa muuza mitumba pale Miyomboni, alivyokuja Mrema ndio akawa anamuita kiutaniutani " mchungaji " na jina hilo likaenea
Kaka yake ndio Mchungaji na ana Kanisa la kilokole Mtwivila!