Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 116,419
- 215,182
- Thread starter
- #21
Aiseeee!Huo ndio mfano bora kabisa wa kuchanganya dini na siasa! Ila kwa kuwashutumu wengine; hawajambo! Katika Liturgy ya Kanisa Katoliki hakuna mahali popote pa "Rais kuzungmza/kuhubiri" wakati wa ibada tena Yesu akiwa mbele pale katika maumbo ya mkate na divai.