johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,724
- 141,585
Mwenyekiti wa Chadema kanda ya Nyasa mchungaji Msigwa leo aliwaongoza wafuasi, wapenzi na wanachama wa chama hicho kwenye mazishi ya hayati Zakaria Hans Poppe yaliyofanyika Makanyagio manispaa ya Iringa.
Msigwa amesema Hans Poppe hakuwa mbaguzi na aliwapenda watu wote.
Source: ITV habari
Mungu ni mwema wakati wote.
Msigwa amesema Hans Poppe hakuwa mbaguzi na aliwapenda watu wote.
Source: ITV habari
Mungu ni mwema wakati wote.