johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,754
- 139,571
Nipo katika utalii wa ndani mbugani Ruaha na la muhimu kabisa ni kutembelea maeneo ya kihistoria ya Isimila na Lugalo nikihadithiwa habari za maisha ya Chifu Mkwawa.
Cha ajabu wadimi (vijana) wa hapa Kalenga wanamrefer mchungaji Msigwa kama ndiye mbunge wao badala ya Godfrey Mgimwa aliyechaguliwa kisheria.
Bado sijajua tatizo hasa ni nini yawezekana ni " kidada" tu cha hawa wadimi au mimi ndio siujui mpaka wa ubunge labda Mgimwa yuko Tanangozi na Ifunda.
Nitajaribu kumtafuta DC Richard Kasesela anifafanulie kwanini kule Uchifuni wanamtambua Msigwa kama mbunge wao!
Maendeleo hayana vyama!
Cha ajabu wadimi (vijana) wa hapa Kalenga wanamrefer mchungaji Msigwa kama ndiye mbunge wao badala ya Godfrey Mgimwa aliyechaguliwa kisheria.
Bado sijajua tatizo hasa ni nini yawezekana ni " kidada" tu cha hawa wadimi au mimi ndio siujui mpaka wa ubunge labda Mgimwa yuko Tanangozi na Ifunda.
Nitajaribu kumtafuta DC Richard Kasesela anifafanulie kwanini kule Uchifuni wanamtambua Msigwa kama mbunge wao!
Maendeleo hayana vyama!