johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,840
- 141,765
Siyo kwamba RC Albert Chalamila hautaki ubunge wa jimbo la Iringa mjini la hasha bali ameisoma historia ya mchezo.
Haya mambo siyo ya kuyaamini sana eti " lazima nitashinda" kuna maeneo yana visiki hadi unashangaa kwanini huwa having' oki pamoja na figisu zote.
Hongera RC Chalamila.
Maendeleo hayana vyama!
Haya mambo siyo ya kuyaamini sana eti " lazima nitashinda" kuna maeneo yana visiki hadi unashangaa kwanini huwa having' oki pamoja na figisu zote.
Hongera RC Chalamila.
Maendeleo hayana vyama!