johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,742
- 139,504
Mchungaji Mastai wa KKKT Kimara amesema siyo kila anayetaka kuwa kiongozi ana kipawa bali Mungu ameweka vipawa vya uongozi kwa wateule wachache.
Kwa mfano, Nelson Mandela (R.I.P) wa Afrika ya Kusini Mungu aliweka kipawa cha uongozi ndani yake na hapa Tanzania Mungu ameweka kipawa cha uongozi kwa Yohana ( John) Magufuli, amesisitiza mchungaji Mastai.
Nawatakia Dominica yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Kwa mfano, Nelson Mandela (R.I.P) wa Afrika ya Kusini Mungu aliweka kipawa cha uongozi ndani yake na hapa Tanzania Mungu ameweka kipawa cha uongozi kwa Yohana ( John) Magufuli, amesisitiza mchungaji Mastai.
Nawatakia Dominica yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!