Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,318
- 24,183
Mangi umeokoka?Ni muumini wake.
Swali lingine meku?
Mangi umeokoka?Ni muumini wake.
Swali lingine meku?
Karibu kimara bwashee!Mangi umeokoka?
Hujajibu swali, umeokoka?Karibu kimara bwashee!
Yesu alisema " atakayevumilia hadi mwisho ndiye atakayeokoka"Hujajibu swali, umeokoka?
Sasa Mastai unamwonaje, fixi au siyo?Yesu alisema " atakayevumilia hadi mwisho ndiye atakayeokoka"
Kwahiyo mwisho wetu ndio unaoamua kama tumeokoka ama la, hizi nyingine ni mbwembwe tu!
Ulisema mwenyewe leo jumapili unaacha kuandika unafiki wa hiki kibwagizoMaendeleo hayana vyama!
Kama mchungaji Msigwa tu!Sasa Mastai unamwonaje, fixi au siyo?
Maana wewe hujaokoka.