johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,873
Mchungaji Matsai wa Kanisa la KKKT kimara amewataka waumini wake kuchukua tahadhari dhidi ya Corona kwa sababu siyo kila jambo ni lazima Rais atoe kauli.
Mchungaji amesema kama unaona kuna tatizo mbele ni lazima uchukue tahadhari kwa sababu akili unazo.
Nawatakia Kwaresma yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama.
Mchungaji amesema kama unaona kuna tatizo mbele ni lazima uchukue tahadhari kwa sababu akili unazo.
Nawatakia Kwaresma yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama.