johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,853
- 141,776
Mchungaji Lusekelo amesema hstaweza kumsahau mwalimu Nyerere katika maisha yake yote. Mzee wa Upako amesema Tanzania kuna watu wanajiita mitume na manabii na kwamba hao watu ni wasanii kama wasanii kama wasanii wengine tu.
Mtu pekee mwenye hadhi ya kuitwa Nabii hapa nchini ni mwalimu Nyerere peke yake na ili kumpata mtu mwingine wa kariba ya Nyerere itapita miaka 500 ndio atokee. Rev Lusekelo amesema hayo ibadani pale Kanisani kwake katika maadhimisho ya miaka 19 ya kifo cha mwalimu Nyerere.
Chanzo: Channel ten tv.
My take: Kamanda Lema wa Ufipa anajiita Nabii......hii imekaaje!
Mtu pekee mwenye hadhi ya kuitwa Nabii hapa nchini ni mwalimu Nyerere peke yake na ili kumpata mtu mwingine wa kariba ya Nyerere itapita miaka 500 ndio atokee. Rev Lusekelo amesema hayo ibadani pale Kanisani kwake katika maadhimisho ya miaka 19 ya kifo cha mwalimu Nyerere.
Chanzo: Channel ten tv.
My take: Kamanda Lema wa Ufipa anajiita Nabii......hii imekaaje!