Fitinamwiko
JF-Expert Member
- Aug 13, 2012
- 4,803
- 1,416
JK aambiliki, 3 more yrs
huyu rais toz kweli ni dhaifu jamani duuu,adi inabore,alafu unakuta mtu msomi na akili zake timamu unakuta ana wapenda penda ccm,wakati bosi wao ana lalamika je wanaomfuata chini yake wafanye nini,ccm uozo tusitegemee mabadiliko kupitia hichi chama wameoza wote na hao uvccm wameoza,kulikomboa taifa dawa kubadili cha tawala full stop.