S.Liondo
JF-Expert Member
- Apr 20, 2011
- 3,408
- 1,712
Hapa huwa hakuna middle ground, Kama wewe si muumba basi ni kiumbe. Sasa naomba nikuulize, mkuu wa mkoa ambaye unasema kumuita kiumbe ni kosa sasa yeye ni nani?! Ni muumba?! Ukishajua anafiti wapi basi ndio utajua kuwa ulikomenti kwa kuongozwa na mihemko.Haiwezekani amuite Mkuu wa Mkoa kiumbe...ni kosa kubwa sana