field marshall1
JF-Expert Member
- Sep 17, 2017
- 1,171
- 2,730
Nimesikiliza clip ya Mchungaji Gwajima wa kanisa la Ufufuo na Uzima akijaribu kuhalalisha kifo cha makamu wa pili wa rais wa Zanzibar kuwa ameshafika miaka 70 hivyo hata akifa ni sawa kwa sababu binadamu tuliumbwa kuishi miaka 70.
Naomba nimfahamishe huyo Gwajima ambaye binafsi siamini kama ni mchungaji kweli kutokana na matendo yake mabovu kwenye jamii na pia wizi wake wa kura uliompa ubunge feki, kuwa umri wa kuishi watu si miaka 70 tu, kwenye nchi zilizoendelea wastani wa kuishi ni miaka 84 au zaidi lakini kuna watu wakitunzwa vizuri wanafika miaka 100 kama alivyofikia babu yangu na bibi yangu miaka 96.
Gwajima huyu feki aliyedai anafufua wafu na asiyejua hata maana ya Covid-19, anasema ni Corona virus december 2019 ndiye anayetupangia nani afe au asife au anayeshabikia watu kufa wakiwa na umri wa miaka 70?
Ni aibu sana kwa huyo Gwajima aliyesambaza makaratasi kuwa watu wawamalize wanaompinga Magufuli na kutaka kueneza USUKUMA, it is shame to have this kind of imbecile church leader.
Scandal yake ya vijambo alivyofanya bado ipo mbichi anataka kuipotezea kwa kurukia rukia vitu vingine visivyomhusu.
Ushauri ahangaike na kanisa lake, hatuwezi kupangiwa miaka ya kuishi na huyo Gwajima, awe basi angalau na uwezo wa kufikiri sawasawa aache mihemuko, yeye anatukataza kuvaa masks ni nani nchi hii? Anawakataza waumini wake kuvaa masks je anajua athari za kutokuvaa masks?
Naomba nimfahamishe huyo Gwajima ambaye binafsi siamini kama ni mchungaji kweli kutokana na matendo yake mabovu kwenye jamii na pia wizi wake wa kura uliompa ubunge feki, kuwa umri wa kuishi watu si miaka 70 tu, kwenye nchi zilizoendelea wastani wa kuishi ni miaka 84 au zaidi lakini kuna watu wakitunzwa vizuri wanafika miaka 100 kama alivyofikia babu yangu na bibi yangu miaka 96.
Gwajima huyu feki aliyedai anafufua wafu na asiyejua hata maana ya Covid-19, anasema ni Corona virus december 2019 ndiye anayetupangia nani afe au asife au anayeshabikia watu kufa wakiwa na umri wa miaka 70?
Ni aibu sana kwa huyo Gwajima aliyesambaza makaratasi kuwa watu wawamalize wanaompinga Magufuli na kutaka kueneza USUKUMA, it is shame to have this kind of imbecile church leader.
Scandal yake ya vijambo alivyofanya bado ipo mbichi anataka kuipotezea kwa kurukia rukia vitu vingine visivyomhusu.
Ushauri ahangaike na kanisa lake, hatuwezi kupangiwa miaka ya kuishi na huyo Gwajima, awe basi angalau na uwezo wa kufikiri sawasawa aache mihemuko, yeye anatukataza kuvaa masks ni nani nchi hii? Anawakataza waumini wake kuvaa masks je anajua athari za kutokuvaa masks?