consigliori
JF-Expert Member
- Mar 29, 2010
- 392
- 89
Leo nimemsikia Mchungaji Getrude akihojiwa na Clouds FM, alipoulizwa kuhusu swala posho bungeni akajibu " siwezi kulizungumzia hili, mimi ni mtu mdogo sana. Zikiwepo nitazichukua zisipokuwepo hazinikeri. Mimi kazi yangu ni kusaidia wananchi na wanawake wenzangu"
Ameamua kuwa neutral ili upande wowote utakaoshinda awe safe.
Ameamua kuwa neutral ili upande wowote utakaoshinda awe safe.