Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,548
- 217,814
Nimeanza kukuona sasa ukianza kutumika kusifu mtu ambaye anatimiza majukumu yake aliyoomba mwenyewe , huna haja ya kusifu mambo ambayo ni majukumu halali ya kiongozi , kila awamu barabara na madaraja vilijengwa na wala hatukuwahi kummilikisha jambo hilo kiongozi yeyote kwa sababu zozote zile , hayo ni majukumu ya kikatiba tu .
Umaarufu ulioupata unatokana na mahubiri yako yanayogusa waumini wako , wakati ule ulipokuwa wa kawaida hawakuwahi kukualika popote ili uwasifu , hii ni kwa vile hukuwa na ushawishi wowote ule , jiulize kwanini sasa ? kuwa makini sana usije ukatoka nje ya reli na kuingia kwenye ibada ya Shetani , Mungu amekuinua lakini shetani anakunyemelea , kuwa makini sana , ccm haijawahi kumuacha mtu salama , muangalie Malasusa kama mfano wa karibu , ameteketea kiimani kwa sababu ya ccm.
Nakutakia kazi njema ya kuchunga kondoo wa Mungu
Umaarufu ulioupata unatokana na mahubiri yako yanayogusa waumini wako , wakati ule ulipokuwa wa kawaida hawakuwahi kukualika popote ili uwasifu , hii ni kwa vile hukuwa na ushawishi wowote ule , jiulize kwanini sasa ? kuwa makini sana usije ukatoka nje ya reli na kuingia kwenye ibada ya Shetani , Mungu amekuinua lakini shetani anakunyemelea , kuwa makini sana , ccm haijawahi kumuacha mtu salama , muangalie Malasusa kama mfano wa karibu , ameteketea kiimani kwa sababu ya ccm.
Nakutakia kazi njema ya kuchunga kondoo wa Mungu