Kichochoro
JF-Expert Member
- Jul 18, 2017
- 1,135
- 1,163
Mchungaji Daniel Mgogo mchana wa leo amepata ajali maeneo ya Korogwe Mkoani Tanga wakati akielekea Dar es Saam akitokea Arusha akiwa Peke yake lakini Mungu ni mwema Hajaumia Wala hajapata majeraha yeyote tunamshukuru Mungu licha ya Gari aliyokuwa akiendesha kuharibika vibaya
Ashukuriwe Mungu atendaye Makuu
Ashukuriwe Mungu atendaye Makuu