Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 13,550
- 16,631
''Nataka kuwaambia nyinyi maaskofu, iwapo hamutamuheshimu mke wanngu nitawafurusha katika kanisa langu. sitaki kujua wewe ni nani'',
Mchungaji maarufu nchini Kenya Ng'ang'a wa kanisa la Neno Evangelist Ministry amegonga vichwa vya habari kwa mara nyengine tena baada ya kutishia kufunga matawi ya kanisa lake la Neno Evangelism akidai kwamba maaskofu hawamuheshimu mke wake.
'Wakati huu nitawaonyesha uwezo wangu... mwanamke yeyote ambaye hatamuheshimu mke wangu ....mulinipata hapa na wake zenu, mumejitajirisha kupitia juhudi zangu'' .
''Wajinga nyie...wajeuri...nilikuwa nikihubiri katika mkokoteni , naapa mbele ya Mungu nitawaonyesha Ng'ang'a ni nani....''. Mchungaji Ng’ang’a.
Mchungaji maarufu nchini Kenya Ng'ang'a wa kanisa la Neno Evangelist Ministry amegonga vichwa vya habari kwa mara nyengine tena baada ya kutishia kufunga matawi ya kanisa lake la Neno Evangelism akidai kwamba maaskofu hawamuheshimu mke wake.
'Wakati huu nitawaonyesha uwezo wangu... mwanamke yeyote ambaye hatamuheshimu mke wangu ....mulinipata hapa na wake zenu, mumejitajirisha kupitia juhudi zangu'' .
''Wajinga nyie...wajeuri...nilikuwa nikihubiri katika mkokoteni , naapa mbele ya Mungu nitawaonyesha Ng'ang'a ni nani....''. Mchungaji Ng’ang’a.