Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,778
Kuna familia ilipataa msiba huku kwetu. Kwa bahati mbaya mhusika alijiua. Walipoenda kanisani wakamdanganya pastor amekufa kwa shinikizo la damu na vyeti vya daktari wakatoa.
Mchungaji akasalisha misa ya msiba bila kujua. Jumapili kawaka akadai "Kama walinidanganya nikavaa joho kwa mtu aliyejiua adhabu ya Mungu ikawe juu yao.
Mchungaji akasalisha misa ya msiba bila kujua. Jumapili kawaka akadai "Kama walinidanganya nikavaa joho kwa mtu aliyejiua adhabu ya Mungu ikawe juu yao.