Mchungaji apiga marufuku sadaka za sarafu (coins) Kanisani mwake

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,906
22,050
Mchungaji wa kanisa moja apa nchini amepiga marufuku waumini wa kanisa lake kutoa sadaka za sarafu na kusema hilo ni kosa la jinai na akuna aja ya kudharau mungu..mchungaji huyo ambae ametangaza rasmi kama huna noti usitoe sadaka kanisan mwake amesema kuliko aende akaulizwe mbinguni bora akiri akukuwa na sadaka zakutosha huku akijua watu wanaangamia kwa kutoa sarafu....kazi ipo kwa habari zaidi nunu gazeti la msemakweli...leo jumapili.

Hivi yule alietoa senti kadhaa kwa yesu akasema hyu ametoa zaidi zilikuwa noti eehhhhhhhhhhhhhhhh??????????????? Haya mafundisho wanayapata wapi jamani........haya wahs wa epa kanisa liko wazi kwa ajili yenu si naniiino atuitajiki.........haya mambo ni ya kumwomba mungu yananikumbusha nikiwa arusha ukifika pale stand mjin uliza kuna msikiti mmoja huo ni secial kwa matajiri wafnyabiashara na baadhi ya wah walipoona watubaki wanajazana...kama unafahamu hotal ya crown pembeni kuna kagorofa unaweza hisi hotel ni msikiti ule wakajengewa na kuamriwa wawe wanaensa sali pale na kugawiwa msaada kila ijumaa....panajaaje ijumaa.....

Mungu aturehemu
 
Huyo si Mchungaji wa kondoo wa bwana! Hilo kanisa linawafaa mafisadi wenye vijisenti.
 
Ha ha haaaaa haaaaaaa
nimecheka sana kwa kweli....................


This is funny...................................
 
Mkuu naelekea mjini sasa hv azania kwenye harusi nanunua usiku nikuabalishe najua umelifurahia sana
muwe pekee yenu humo ndani wa noti
am kiddin
 
ndugu zangu inabidi tusimamae imara na tusiyumbishwe na aya
makanisa yafaa tukae pale tulipowakuta wazazi wetu wanaabudu
 
Mi binafsi nimelipenda kwa kweli...na natamani wana jf wote tuwe member nikipata gazeti nitawapa
liko wapi unajua ukiwa na uwezo wa kutoa kanisani hata nyumban kwako hutokuwa mbaili ...najua humu ndan kuna mijianaume
mingine mibailikweli uasiku ikirudi inakula pale hotel za magomeni ikifika nyumban sijisikii kula watoto wanakesha na kisamvu
huku kashapiga pilau na supu ya pweza........so ni kanisa zuri kujiandaa na maisha
 
Inawezekana mchungaji akawa sahihi ndugu zangu. Mara nyingi tunatoa sadaka chenjichenji au kama ni noti basi ni zile walizokataa makonda.

Kwa upande mwigine, uwezo wangu kama ni kutoa coins tu basi nitatoa hizohizo na akitaka akazitupe. Lakini kama natoa sadaka mara moja kwa wiki na kipato changu Mungu anasaidia sioni sababu kwa nini nisitoe sadaka ya maana. Wazee mbona hata changudoa siku hizi tukiwapa vi-coins wanakataa na hatuji kulalamika hapa wakati wao ndio wanatuongezea mzigo wa zambi za kwenda kutubui kanisani??? Inawezekana lugha ya huyu mchunga kondoo ni ya kibabe lakini ukicheki fresh utagundua anayo point. Nijuavyo mimi Sadaka ni jambo la hiari na Kama kipato ni kidogo tutoe tulichonacho au tuache kabisa kutoa. Mwenyezi Mungu akijalia kipato kama ni kizuri basi tuache mzaha wa kutoa senti 75 makanisani na kwa ombaomba mitaani.
 
nimecheka sana,lakini alichoongea ni kweli,mtu uinatumia elfu hamsini pale mango garden kwa usiku mmoja tu,halafu kesho ukienda church unaacha coins hata mia hazifiki,hiyo ni noma tuache mambo hayo.
 
kuna wanaotoa coins kwa inda.....lakini kuna wanaotoa coins kwa kuwa ndo waliokuwa nacho....sasa hawa anawaambiaje?
 
Safi kabisa mchungaji. Kama hawawezi kutoa kwa hiari "ingiza mkono" mifukoni mwao ujichukulie. Vinginevo utakosa mlo na mahitaji ya lazima kwani mtumishi wa madhabahu anakula vya madhabahuni. Sasa kama wale unaowahudumia wanakuwa na mkono wa birika ufanyeje? Wawekee sheria kali!
 
mi nampenda sana mzee wa upako kuna sadaka fulan ukifika pale una 500 wanakushusha chini kama awana akili nzuri
uheshimu madhabahu
 
Mchungaji wa kanisa moja apa nchini amepiga marufuku waumini wa kanisa lake kutoa sadaka za sarafu na kusema hilo ni kosa la jinai na akuna aja ya kudharau mungu..mchungaji huyo ambae ametangaza rasmi kama huna noti usitoe sadaka kanisan mwake amesema kuliko aende akaulizwe mbinguni bora akiri akukuwa na sadaka zakutosha huku akijua watu wanaangamia kwa kutoa sarafu....kazi ipo kwa habari zaidi nunu gazeti la msemakweli...leo jumapili.

Hivi yule alietoa senti kadhaa kwa yesu akasema hyu ametoa zaidi zilikuwa noti eehhhhhhhhhhhhhhhh??????????????? Haya mafundisho wanayapata wapi jamani........haya wahs wa epa kanisa liko wazi kwa ajili yenu si naniiino atuitajiki.........haya mambo ni ya kumwomba mungu yananikumbusha nikiwa arusha ukifika pale stand mjin uliza kuna msikiti mmoja huo ni secial kwa matajiri wafnyabiashara na baadhi ya wah walipoona watubaki wanajazana...kama unafahamu hotal ya crown pembeni kuna kagorofa unaweza hisi hotel ni msikiti ule wakajengewa na kuamriwa wawe wanaensa sali pale na kugawiwa msaada kila ijumaa....panajaaje ijumaa.....

Mungu aturehemu
Pdidy!
Toa kwanza boriti iliyoko jichoni mwako, na hivyo utaona sawasawa kiasi cha kuweza kuondoa kibanzi kilicho katika jicho la ndugu yako! Kila ninaposoma post zako huwa nasikia kichefuchefu kwa sababu unaandika kama mtoto wa darasa la kwanza! Ndugu yangu, hata kiswahili kinakushinda kuandika/kujieleza? Au ulikimbia shule? Huwa unashikiwa bunduki unapoandika post zako? JIREKEBISHE TAFADHALI!
 
Pdidy!
Toa kwanza boriti iliyoko jichoni mwako, na hivyo utaona sawasawa kiasi cha kuweza kuondoa kibanzi kilicho katika jicho la ndugu yako! Kila ninaposoma post zako huwa nasikia kichefuchefu kwa sababu unaandika kama mtoto wa darasa la kwanza! Ndugu yangu, hata kiswahili kinakushinda kuandika/kujieleza? Au ulikimbia shule? Huwa unashikiwa bunduki unapoandika post zako? JIREKEBISHE TAFADHALI!
Naona Pdidy ans shida kubwa ya "h" na "y". Zinamshinda sana kuzitumia sijui kwa nini. Labda masahihisho yako yatamsaidia kuwa makini.
 
Mchungaji wa kanisa moja apa nchini amepiga marufuku waumini wa kanisa lake kutoa sadaka za sarafu na kusema hilo ni kosa la jinai na akuna aja ya kudharau mungu..mchungaji huyo ambae ametangaza rasmi kama huna noti usitoe sadaka kanisan mwake amesema kuliko aende akaulizwe mbinguni bora akiri akukuwa na sadaka zakutosha huku akijua watu wanaangamia kwa kutoa sarafu....kazi ipo kwa habari zaidi nunu gazeti la msemakweli...leo jumapili.

Hivi yule alietoa senti kadhaa kwa yesu akasema hyu ametoa zaidi zilikuwa noti eehhhhhhhhhhhhhhhh??????????????? Haya mafundisho wanayapata wapi jamani........haya wahs wa epa kanisa liko wazi kwa ajili yenu si naniiino atuitajiki.........haya mambo ni ya kumwomba mungu yananikumbusha nikiwa arusha ukifika pale stand mjin uliza kuna msikiti mmoja huo ni secial kwa matajiri wafnyabiashara na baadhi ya wah walipoona watubaki wanajazana...kama unafahamu hotal ya crown pembeni kuna kagorofa unaweza hisi hotel ni msikiti ule wakajengewa na kuamriwa wawe wanaensa sali pale na kugawiwa msaada kila ijumaa....panajaaje ijumaa.....

Mungu aturehemu

Wacha uzushi wako Mgalatia !..........Msikiti wa Mashia na Mashia hawana tofauti na Wagalatia, wao huwapa pesa Waislaam waingie Ushia.
Sasa usifananishe tamaa zenu za Kigalatia na Uislaam. Pdidy

'Enyi mlio amini (Waislaam !) kuweni wenye kusimamia uadilifu, mtoao ushahidi kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, ijapokuwa (hata kama) ni juu ya nafsi zenu, au wazazi wawili na jamaa zenu. Akiwa tajiri au maskini Mwenyezi Mungu (ndiye) anawastahiki zaidi. Basi msifuate matamanio, mkaacha kufanya uadilifu. Na mkiupotoa (ukweli) au mkajitenga nao, basi Mwenyezi Mungu anajua vyema mnayo yatenda.
Qur'an: 4:135.
 
ilivyotoka coin ya tsh 500 nilijua italeta shida hadi ktk nyumba za ibada.

hizi coin, ni shida sn.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom