mshale21
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 2,050
- 4,904
Mahakama ya hakimu mkazi Wilaya ya Bukoba mkoani Kagera imemhukumu Mchungaji Merchades Mugishagwe kutumikia kifungo cha miezi 18 gerezani na kulipa faini shilingi milioni tatu, baada ya kumtia hatiani kwa makosa matatu.
Makosa hayo ni kushindwa kutekeleza wajibu wake kama mzazi, kushindwa kupeleka watoto shule na kujihusisha na vikundi visivyotakiwa kijamii.
Hakimu Mfawidhi wa Mahakama hiyo Daniel Nyamkerya,pia amemhukumu mshtakiwa namba mbili katika kesi hiyo mke wa mchungaji huyo Agripina Maganja kutumikia kifungo cha nje kwa muda wa miezi sita kwa masharti ya kutotenda kosa katika kipindi hicho, kutokana na kutiwa hatiani.
Makosa hayo ni kushindwa kutekeleza wajibu wake kama mzazi, kushindwa kupeleka watoto shule na kujihusisha na vikundi visivyotakiwa kijamii.
Hakimu Mfawidhi wa Mahakama hiyo Daniel Nyamkerya,pia amemhukumu mshtakiwa namba mbili katika kesi hiyo mke wa mchungaji huyo Agripina Maganja kutumikia kifungo cha nje kwa muda wa miezi sita kwa masharti ya kutotenda kosa katika kipindi hicho, kutokana na kutiwa hatiani.