Hongera sana mchungaji kwa kukimbia kutoka kwenye chama cha wachungaji wenzako. Ila umeteleza kidogo tu, ingetakiwa urudi nyumbani CCM. Karibu sana kwetu!!
Hongera sana mchungaji kwa kukimbia kutoka kwenye chama cha wachungaji wenzako. Ila umeteleza kidogo tu, ingetakiwa urudi nyumbani CCM. Karibu sana kwetu!!
Makabwela lipumba apumzike tu maana
Machadema ni wauwaji wakuu
Anaitwa mchungaji godfrey sombi
Katoa mzigo kichwani kaweka begani
Muwe mnatoa habari kamili siyo nusunusu...unaelezea majina yake kamili na alikuwa anaongoza dhehebu gani na liko wapi, yeyote anaweza kujiita mchungaji au sheikh si unajua watu wanatafuta pa kutokea? na hivi CUF ilishasahaulika.