wadau, najitokeza katika hili jukwaa kuomba ushauri.
Nina miaka 27 na kuna binti ambae nimetokea kumpenda na nimeamua kumuoa awe mke wangu. kwa vile nimekuwa sina mazoea nae ya karibu sana nilimuuliza mtu ambae anamfahamu na wako karibu nikitaka kujua kama yule binti yuko tayari kuolewa kwani bado ana 18years, alipoulizwa yule binti alisema kuwa yupo tayari ila alitaka kunifaham kwani alikuwa hanifahamu vizuri. Tulipokutana na kuongea yule binti alisema kuwa hayupo tayari kwa sasa kwani wazazi wake wana mpango wa kumpeleka chuoni mwakani september ila akasisitiza kuwa umri wake bado ni mdogo sana na hafikirii kuolewa kwa sasa kwa umri wake. Nilipoendelea kuongea nae aliendelea kusisitiza kuwa yeye umri wake bado ni mdogo na anadai kuwa alikuwa hajafikiria kuolewa kwa sasa eti kwa ajili ya umri.
Kufuatia majibu hayo nashindwa kujua kua labda anajaribu ili ajue msimamo wangu kama niko serious au ndo mambo ya kina dada yaani niko njia panda ila kwa kweli nampenda na ninamaanisha kumwoa. naombeni ushauri ndugu zangu
Nina miaka 27 na kuna binti ambae nimetokea kumpenda na nimeamua kumuoa awe mke wangu. kwa vile nimekuwa sina mazoea nae ya karibu sana nilimuuliza mtu ambae anamfahamu na wako karibu nikitaka kujua kama yule binti yuko tayari kuolewa kwani bado ana 18years, alipoulizwa yule binti alisema kuwa yupo tayari ila alitaka kunifaham kwani alikuwa hanifahamu vizuri. Tulipokutana na kuongea yule binti alisema kuwa hayupo tayari kwa sasa kwani wazazi wake wana mpango wa kumpeleka chuoni mwakani september ila akasisitiza kuwa umri wake bado ni mdogo sana na hafikirii kuolewa kwa sasa kwa umri wake. Nilipoendelea kuongea nae aliendelea kusisitiza kuwa yeye umri wake bado ni mdogo na anadai kuwa alikuwa hajafikiria kuolewa kwa sasa eti kwa ajili ya umri.
Kufuatia majibu hayo nashindwa kujua kua labda anajaribu ili ajue msimamo wangu kama niko serious au ndo mambo ya kina dada yaani niko njia panda ila kwa kweli nampenda na ninamaanisha kumwoa. naombeni ushauri ndugu zangu