kengele maziwa
JF-Expert Member
- Jun 1, 2015
- 424
- 626
Kwa maelezo mafupi tu hii inaenda mwezi wa pili ameshindwa kuingia period lakini tumepima mimba mara tatu lakini majibu yanaonesha hana mimba. Je, Inaweza kuwa tatizo gani wajuzi wa mambo?
Msaada wenu wakuu.
Msaada wenu wakuu.