Michelle
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,621
- 3,513
akubali tu keshachukuliwa,the earlier she accept this the better,eti amechukuliwa mchumba kwani huyo mchumba yeye ni nyanya sokoni,zinabebwa tu?????? mwambie a move on asiexpect miracles....mungu hajamuandikia huyo...akazane kuomba aonyeshwe wa kufanana naye.
Yaani watu wengine bwana....keshachukuliwa atulie tu,unless alikuwa anauhusiano na teenager asiyekuwa na uwezo wa kuamua au kutokujua atakacho....mwanaume kaona viwango kwa binti wa kichagga kaweka makazi,yeye azidi ung'ang'anizi....lol:lol: