Marvelous King
JF-Expert Member
- Jan 7, 2019
- 662
- 1,284
Hatua moja mbele
Ugua pole mkuu,
ila epuke kufanya uamuz hatar utakayoyagharimu maisha yako yajayo
Ugua pole mkuu,
ila epuke kufanya uamuz hatar utakayoyagharimu maisha yako yajayo
KAMA WEWE NI MWANAUME WA DODOMA NAKUOMBA USIENDE KULIALIA NA KUGALAGALA KAMA WENGINE WANAPOVISHANA PETE ZA UCHUMBA!!!Wakubwa zangu shikamooni, vijana wenzangu habari vipi?
Ndugu zangu, nipo serious sanaa katika ombi langu, nakuomba unipe muda wa kunisikiliza kidogo na unishauri kama inafaa.
Mimi ni kijana nina umri wa miaka 29, ni mwajiliwa serikalini idara ya Afya. Kuna binti nilianza nae uchumba 2017 mwanzoni yeye akiwa chuo flan cha afya, Mimi ni Mgogo yeye ni Mbulu ana miaka 24 sasa.
Tulianza mapenzi akiwa ameonesha msimamo wa kutoshiriki tendo lolote na mimi mpaka mwaka mmoja ulipopita ndo tukaanza kukutana kimwili. Ni binti ambae niliona huyu anafaa kuwa mke wangu kabisaa maana alikua ana msimamo sanaa hata kwa watu wengi waliokua wakimtongoza maana alikua ananionesha sms na calls zao, bas nikawa namshauri wajibu wewe ni mke wa mtu na unahitaji heshima, kiukweli nilijipa moyo hapa nimepata mke kweli kweli.
Basi akamaliza chuo 2017 mwishoni nikamtaftia ajira ya kujishikiza mahali flani mkoa wa Mwanza. Sasa nikawa nimeongea na mtu mmoja awe anafatilia nyendo zake wakati mimi nipo mbali.
Alipotimiza miezi miwili kazini nikapata taarifa kuna kabwana mdogo ka umri wa miaka 22 - 24 kanatembea nae hapo hapo alipopanga chumba, sikutaka kuamini, ikanibidi siku moja nifanye kusadiri kwenda kumtembelea kimya kimya bila taarifa, nikafika akanipokea vizuri. Ilipofika usiku nikamwambia sasa mpenzi unaweza kunihakikishia huku huna mchezo wowote mchafu wa kimahusiano? Akanijibu hapana kabisa mpenzi wangu naomba uniamini.
Nikamuuliza, Je, unaweza kunipa simu yako nikague chochote? Akapata kigugumizi sanaaaaa, nikamuuliza Unanipenda na unajiamini? Akajibu ndio, nikamwambia bas naomba simu yako, akapata kigugumizi kizito sanaaa.
Basi ikanibidi nichukue simu yake nipitie sms na whatsap, aseee niliyoyakuta ni mazito mnooooooo wallahi Nimepata simanzi kubwa sanaaa, ikanibidi niondoke usiku huo huo kwenda kutafta Lodge nikalala na kesho nikaondoka kurudi kazini.
Mchumba wangu huyu nilikua nimeshafahamiana na ndugu zake baadhi na mama yake mzazi alikua ananijua kwa picha tu na alikua tayari karidhia niwewe mkwe wake kabla hata sijaenda kujitambulisha maana matendo niliyomfanyia mwane ni mwanaume mwenye malengo mazuri wazi wazi. Kinachoniuma zaidi ni kwamba nimetumia muda mwingi sanaaa kumjenga kiimani, kumjenga juu ya tabia za wanaume wenye tamaa, kiukweli niliamini huyu mwanamke sasa hakuna atakae weza kumshawishi maana hata mimi binafsi nilikua nimebadilika sanaaa kitabia sikuwa nnahamu na michepuko tena niliona sasa huu ni muda wa kutulia na mwanamke mmoja sina haja ya kutanga tanga na dunia ya leo.
Ndugu zangu niko serious sanaaa, naombeni ushauri cha kufanya, mwanamke huyu alikua anatembea na kijana wa mwenye nyumba tena kwa kulala nae chumbani kwake karibu kila wiki.
Mwanamke alionesha sanaaa kunipenda tulikua tunawasiliana kila siku zaidi ya mara 5 kila siku ya Mungu. Leo naona dunia imenigeuka, nina maumivu makali sanaaaa, niliplan nije kumtambulisha kwetu mwaka huu December, na kwao ningeenda kujitambulisha November ili mwakani Mungu akijaalia tufunge Ndoa. Wakuu, niko gizani, nina msongo wa mawazo, mimi ni jasiri sanaaa lakini nakuomba wewe ndugu yangu ushauri wako katika hili, nakuomba usinitukane wala kunikejeli maana utaniongezea majonzi makubwa.
Naamini thread yangu hii itawafunza na wengine watakao kumbwa na mkasa kama wangu.
ASANTE kwa Muda wako
Sent using Jamii Forums mobile app
Ok ni sawa ni vyema pia kutokana na mtizamo wako, ndomana wanadamu tunatofautiana katika nyanja mbali mbaliYAANI MIMI KWELI MIMI SIRIYAZILI MIMI NIDIRIKI KUMTAFUTIA KAZI "MFUGO" USIOKUWA RASMI MIMI!!!
HAPANA KWA KWELI!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Rudi tu Dodoma ukabidhiwe kit kikali cha kigogoShukuran boss Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha haaaYah demu akikupenda kiukweli anatuliza nyege zake zote kwako, yani haambiwi asikii ila sasa upate yale makulubembe tu jichanganye uliache pekeake tu siku 3 nyingi kashatombwa.
Ha ha ha ha!Jipe siku tatu utakuwa na nafuu. Kubali matokeo.
Wahenga walisema Fimbo ya mbali haiuwi nyoka, yaliwakuta.. Fanya maamuz mapema either ni kumkanya aache tabia hiyo km unahisi atakuelewa au kusonga mbele uepuke kupoteza muda.!!
Hivi ktk karne hii kuna mwanamke mzima? I mean ambaye hana tabia za kuachia goli hovyo hovyo.Mwanamke malaya habadilikagi, kama ana hulka ya kuachia goli ni mwanzo mwisho atakuwa hivyo hivyo.
Hahah unamkazia mpaka mwenyewe anatia akili. Kuna kamoja nakapeleka mchaka mchaka mpaka sio vizuri. Kila kitu napinga tu kama chalii ya BAVICHA. Namaindisha vitu vidogo yani inshort staki anizoee kabisa. Heshim ibaki pale pale tu.
Sahivi sidekezi manzi kabisa. Ati "mbona unani treat harshly sana mpenzi" kimoyomoyo najisemea hamnaga shukurani mbwa nyieee!!!
Mpaka hapo sijaona uthibitisho wa usaliti, hujashuhudia tendo lolote ovu LA huyo Dada, umekuta tu SMS kwenye simu. Hizo unazifuta na unasonga mbele. Si kila SMS kwenye simu inathibitisha matendo, zingine ni story tu. Heri huyo Dada ulomfunza tabia kuliko kuzoa mwingine aliyefunzwa na wenzio. Huyo wako no rahisi kumrekebisha. Mke ni wako ukiwa Naye, mtaftie kujishkiza hapo ulipo. Timiza mchakayo wa ndoa mapema, tangia 2017 yipo tu anakusubiri we we, kakuvumilia sana huyo, msamehe na umtunuku tuzoWakubwa zangu shikamooni, vijana wenzangu habari vipi?
Ndugu zangu, nipo serious sanaa katika ombi langu, nakuomba unipe muda wa kunisikiliza kidogo na unishauri kama inafaa.
Mimi ni kijana nina umri wa miaka 29, ni mwajiliwa serikalini idara ya Afya. Kuna binti nilianza nae uchumba 2017 mwanzoni yeye akiwa chuo flan cha afya, Mimi ni Mgogo yeye ni Mbulu ana miaka 24 sasa.
Tulianza mapenzi akiwa ameonesha msimamo wa kutoshiriki tendo lolote na mimi mpaka mwaka mmoja ulipopita ndo tukaanza kukutana kimwili. Ni binti ambae niliona huyu anafaa kuwa mke wangu kabisaa maana alikua ana msimamo sanaa hata kwa watu wengi waliokua wakimtongoza maana alikua ananionesha sms na calls zao, bas nikawa namshauri wajibu wewe ni mke wa mtu na unahitaji heshima, kiukweli nilijipa moyo hapa nimepata mke kweli kweli.
Basi akamaliza chuo 2017 mwishoni nikamtaftia ajira ya kujishikiza mahali flani mkoa wa Mwanza. Sasa nikawa nimeongea na mtu mmoja awe anafatilia nyendo zake wakati mimi nipo mbali.
Alipotimiza miezi miwili kazini nikapata taarifa kuna kabwana mdogo ka umri wa miaka 22 - 24 kanatembea nae hapo hapo alipopanga chumba, sikutaka kuamini, ikanibidi siku moja nifanye kusadiri kwenda kumtembelea kimya kimya bila taarifa, nikafika akanipokea vizuri. Ilipofika usiku nikamwambia sasa mpenzi unaweza kunihakikishia huku huna mchezo wowote mchafu wa kimahusiano? Akanijibu hapana kabisa mpenzi wangu naomba uniamini.
Nikamuuliza, Je, unaweza kunipa simu yako nikague chochote? Akapata kigugumizi sanaaaaa, nikamuuliza Unanipenda na unajiamini? Akajibu ndio, nikamwambia bas naomba simu yako, akapata kigugumizi kizito sanaaa.
Basi ikanibidi nichukue simu yake nipitie sms na whatsap, aseee niliyoyakuta ni mazito mnooooooo wallahi Nimepata simanzi kubwa sanaaa, ikanibidi niondoke usiku huo huo kwenda kutafta Lodge nikalala na kesho nikaondoka kurudi kazini.
Mchumba wangu huyu nilikua nimeshafahamiana na ndugu zake baadhi na mama yake mzazi alikua ananijua kwa picha tu na alikua tayari karidhia niwewe mkwe wake kabla hata sijaenda kujitambulisha maana matendo niliyomfanyia mwane ni mwanaume mwenye malengo mazuri wazi wazi. Kinachoniuma zaidi ni kwamba nimetumia muda mwingi sanaaa kumjenga kiimani, kumjenga juu ya tabia za wanaume wenye tamaa, kiukweli niliamini huyu mwanamke sasa hakuna atakae weza kumshawishi maana hata mimi binafsi nilikua nimebadilika sanaaa kitabia sikuwa nnahamu na michepuko tena niliona sasa huu ni muda wa kutulia na mwanamke mmoja sina haja ya kutanga tanga na dunia ya leo.
Ndugu zangu niko serious sanaaa, naombeni ushauri cha kufanya, mwanamke huyu alikua anatembea na kijana wa mwenye nyumba tena kwa kulala nae chumbani kwake karibu kila wiki.
Mwanamke alionesha sanaaa kunipenda tulikua tunawasiliana kila siku zaidi ya mara 5 kila siku ya Mungu. Leo naona dunia imenigeuka, nina maumivu makali sanaaaa, niliplan nije kumtambulisha kwetu mwaka huu December, na kwao ningeenda kujitambulisha November ili mwakani Mungu akijaalia tufunge Ndoa. Wakuu, niko gizani, nina msongo wa mawazo, mimi ni jasiri sanaaa lakini nakuomba wewe ndugu yangu ushauri wako katika hili, nakuomba usinitukane wala kunikejeli maana utaniongezea majonzi makubwa.
Naamini thread yangu hii itawafunza na wengine watakao kumbwa na mkasa kama wangu.
ASANTE kwa Muda wako
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashukuru kwa ushauri BossMpaka ha
Mpaka hapo sijaona uthibitisho wa usaliti, hujashuhudia tendo lolote ovu LA huyo Dada, umekuta tu SMS kwenye simu. Hizo unazifuta na unasonga mbele. Si kila SMS kwenye simu inathibitisha matendo, zingine ni story tu. Heri huyo Dada ulomfunza tabia kuliko kuzoa mwingine aliyefunzwa na wenzio. Huyo wako no rahisi kumrekebisha. Mke ni wako ukiwa Naye, mtaftie kujishkiza hapo ulipo. Timiza mchakayo wa ndoa mapema, tangia 2017 yipo tu anakusubiri we we, kakuvumilia sana huyo, msamehe na umtunuku tuzo