Mchumba wangu kanisaliti!! Niko kwenye maumivu makali naombeni ushauri

Nawashukuru sana wote mliolichukua swala langu kwa uzito, naamini wapo wengi nyuma yangu wamefaidika na mawazo yenu, Sasa naona imebaki mimi mwenyewe kufanya maamuzi. JF ni sehemu muhimu sanaaa katika maisha ya leo. Sijamshirikisha ndugu yangu yoyote hili jambo nikaona JF ni sehemu salama na madhubuti kwangu kupata ushauri. Much Appreciation

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwel umbali umechangia ila akifanya kosa la kumrudisha awe karibu naye atalia mara kumi zaidi kikubwa aachane naye kwanza ajamuowa siyo tatizo alafu ili tatizo la kubeba majukumu ya wazazi ndyo linalowaumiza wanaume cku wakiachana na mwanamke au kushindwa kuachana nao. Mtu hujamuowa wala kwao hujaenda ushaanza kumuudumia ada pesa ya kulipia chumba mara mavazi gharama zote zako na kazi ukaanza kutafuta yeye hana ata wasiwasi ametulia kwanni usiumie siku mkiachana.

Beba majukumu yako kwa mpenzi wako ila usiingilie majukumu ya wazazi wake icho ni kiherehere na kitakuliza

Sent using Jamii Forums mobile app
Na hilo ndo tatizoo.. Huyu jamaa alijivisha majukumu ya Baba yake na Binti...!! Inaumagaa sanaa hiyooo...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nawashukuru sana wote mliolichukua swala langu kwa uzito, naamini wapo wengi nyuma yangu wamefaidika na mawazo yenu, Sasa naona imebaki mimi mwenyewe kufanya maamuzi. JF ni sehemu muhimu sanaaa katika maisha ya leo. Sijamshirikisha ndugu yangu yoyote hili jambo nikaona JF ni sehemu salama na madhubuti kwangu kupata ushauri. Much Appreciation

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana mkuu... Najua utakuwa umepotezaa vingi sana kwake ndo maana unaumia mnoo na kweli ulimpendaa..!! Ilaa SONGAAA MBELEEEE...ACHANA NARE KABISAA FUTA KILA KITU CHAKEEE KAMA NI NAMBA YA SIMU...PICHA ZOTE FUTAA na Hata Msg na calls zake Usizijibuuu japo unaumia lakini ni bora uumie sasa kuliko Ukakomaa baadae yakakukuta tenaa ukawa umepoteza muda zaidi na pesaaa... Piga chini Watoto wazuri wengi sana wapoo!

NB:KUWA BUSY NA MAMBO MENGINE NA KWA SASA USITAFUTE DEMU KABISAA UTAKOSEA TENAA...!! Kuwa busy na kazi ukiwa free angalia series ukiweza cheza games utamsahau kabisaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi kwanini baada ya kuachwa boys wengi wanamaliziaga story zao kwa kusema nilipanga kumtambulisha kwetu mwezi/mwaka huu?
Yani binti amedumu nae miaka 5+ ila siku walatakapoachwa kwwnye story lazima aseme nilipanga kumtambulisha/kumuoa mwaka huu
 
Binadam ni binadam tu. Ni kiumbe aliye kiakili na kihisia. Haijalishi ametokea wapi, au nani, kubadilisha mawazo ni kitu cha kawaida na muhimu.

Ndo maana huwa nashangaa pale mtu anapolalamika kuwa 'lakini aliniambia ananipenda'. Ndio, alikwambia anakupenda, lakini sasa mambo yamebadilika. Yaliyopita yamepita.

Hivyo, usiangalie mmepitia mangapi au umemfanyia nini; bali angalia sasa (present). Obviously hana hisia kama mwanzo. Alikuwa wako (as far as we know) na sasa sio tena. Penyeza hii idea, uta-find peace.

Live in the moment brother. Because thats all you have.

Pole.
Siku nyingine, kumbuka chochote kinaweza tokea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakubwa zangu shikamooni, vijana wenzangu habari vipi?
Ndugu zangu, nipo serious sanaa katika ombi langu, nakuomba unipe muda wa kunisikiliza kidogo na unishauri kama inafaa.

Mimi ni kijana nina umri wa miaka 29, ni mwajiliwa serikalini idara ya Afya. Kuna binti nilianza nae uchumba 2017 mwanzoni yeye akiwa chuo flan cha afya, Mimi ni Mgogo yeye ni Mbulu ana miaka 24 sasa.

Tulianza mapenzi akiwa ameonesha msimamo wa kutoshiriki tendo lolote na mimi mpaka mwaka mmoja ulipopita ndo tukaanza kukutana kimwili. Ni binti ambae niliona huyu anafaa kuwa mke wangu kabisaa maana alikua ana msimamo sanaa hata kwa watu wengi waliokua wakimtongoza maana alikua ananionesha sms na calls zao, bas nikawa namshauri wajibu wewe ni mke wa mtu na unahitaji heshima, kiukweli nilijipa moyo hapa nimepata mke kweli kweli.

Basi akamaliza chuo 2017 mwishoni nikamtaftia ajira ya kujishikiza mahali flani mkoa wa Mwanza. Sasa nikawa nimeongea na mtu mmoja awe anafatilia nyendo zake wakati mimi nipo mbali.

Alipotimiza miezi miwili kazini nikapata taarifa kuna kabwana mdogo ka umri wa miaka 22 - 24 kanatembea nae hapo hapo alipopanga chumba, sikutaka kuamini, ikanibidi siku moja nifanye kusadiri kwenda kumtembelea kimya kimya bila taarifa, nikafika akanipokea vizuri. Ilipofika usiku nikamwambia sasa mpenzi unaweza kunihakikishia huku huna mchezo wowote mchafu wa kimahusiano? Akanijibu hapana kabisa mpenzi wangu naomba uniamini.

Nikamuuliza, Je, unaweza kunipa simu yako nikague chochote? Akapata kigugumizi sanaaaaa, nikamuuliza Unanipenda na unajiamini? Akajibu ndio, nikamwambia bas naomba simu yako, akapata kigugumizi kizito sanaaa.

Basi ikanibidi nichukue simu yake nipitie sms na whatsap, aseee niliyoyakuta ni mazito mnooooooo wallahi Nimepata simanzi kubwa sanaaa, ikanibidi niondoke usiku huo huo kwenda kutafta Lodge nikalala na kesho nikaondoka kurudi kazini.

Mchumba wangu huyu nilikua nimeshafahamiana na ndugu zake baadhi na mama yake mzazi alikua ananijua kwa picha tu na alikua tayari karidhia niwewe mkwe wake kabla hata sijaenda kujitambulisha maana matendo niliyomfanyia mwane ni mwanaume mwenye malengo mazuri wazi wazi. Kinachoniuma zaidi ni kwamba nimetumia muda mwingi sanaaa kumjenga kiimani, kumjenga juu ya tabia za wanaume wenye tamaa, kiukweli niliamini huyu mwanamke sasa hakuna atakae weza kumshawishi maana hata mimi binafsi nilikua nimebadilika sanaaa kitabia sikuwa nnahamu na michepuko tena niliona sasa huu ni muda wa kutulia na mwanamke mmoja sina haja ya kutanga tanga na dunia ya leo.

Ndugu zangu niko serious sanaaa, naombeni ushauri cha kufanya, mwanamke huyu alikua anatembea na kijana wa mwenye nyumba tena kwa kulala nae chumbani kwake karibu kila wiki.

Mwanamke alionesha sanaaa kunipenda tulikua tunawasiliana kila siku zaidi ya mara 5 kila siku ya Mungu. Leo naona dunia imenigeuka, nina maumivu makali sanaaaa, niliplan nije kumtambulisha kwetu mwaka huu December, na kwao ningeenda kujitambulisha November ili mwakani Mungu akijaalia tufunge Ndoa. Wakuu, niko gizani, nina msongo wa mawazo, mimi ni jasiri sanaaa lakini nakuomba wewe ndugu yangu ushauri wako katika hili, nakuomba usinitukane wala kunikejeli maana utaniongezea majonzi makubwa.

Naamini thread yangu hii itawafunza na wengine watakao kumbwa na mkasa kama wangu.
ASANTE kwa Muda wako

Sent using Jamii Forums mobile app
Natanguliza pole sana kwako.
Lakini pia nakushauri kuamini jambo linalotokea kuwa lilipangwa.

Haya yanweza kukusaidia kumsahau kimahusiano..
CKUSHAURI UTUMIE ULEVI ET. KUPOTEZA MSONGO..UTAATHIRIKA
fanya haya:
##kama bado una namba zake,picha,audio, na kumbukumbu zingne, nakuashauri uziondoe katika vihifadhio vyako,
Namba inaweza kuwa kichwan lakin baada ya kuifuta,inaweza kukupa uvivu wa kusave tena, pind ushikapo cmu yako.
## epuka kukaa pweke, jichanganye na wadau,ctori nao,
Lakini, kama ctori ztahusu mahuciano, bax jiondoe maeneo. Itakufanya uckumbke maisha yenu ya uhusiano.
## badilisha setting katika mazingira unayoish kam nyumban,, yaan chumba,jiko na sebule.
Kufanya hvo kutakufanya upoteze taswira yake katika maeneo hayo.
Ya kwang ni hayo pekee...
 
nazidi kuyaogopa mapenzi kwa hizi shuhuda#nadhani ni heri ukawa treat harsh inasaidiaga sana ukijikuta mr lover lover#yajayo yanasikitisha
 
Wakubwa zangu shikamooni, vijana wenzangu habari vipi?
Ndugu zangu, nipo serious sanaa katika ombi langu, nakuomba unipe muda wa kunisikiliza kidogo na unishauri kama inafaa.

Mimi ni kijana nina umri wa miaka 29, ni mwajiliwa serikalini idara ya Afya. Kuna binti nilianza nae uchumba 2017 mwanzoni yeye akiwa chuo flan cha afya, Mimi ni Mgogo yeye ni Mbulu ana miaka 24 sasa.

Tulianza mapenzi akiwa ameonesha msimamo wa kutoshiriki tendo lolote na mimi mpaka mwaka mmoja ulipopita ndo tukaanza kukutana kimwili. Ni binti ambae niliona huyu anafaa kuwa mke wangu kabisaa maana alikua ana msimamo sanaa hata kwa watu wengi waliokua wakimtongoza maana alikua ananionesha sms na calls zao, bas nikawa namshauri wajibu wewe ni mke wa mtu na unahitaji heshima, kiukweli nilijipa moyo hapa nimepata mke kweli kweli.

Basi akamaliza chuo 2017 mwishoni nikamtaftia ajira ya kujishikiza mahali flani mkoa wa Mwanza. Sasa nikawa nimeongea na mtu mmoja awe anafatilia nyendo zake wakati mimi nipo mbali.

Alipotimiza miezi miwili kazini nikapata taarifa kuna kabwana mdogo ka umri wa miaka 22 - 24 kanatembea nae hapo hapo alipopanga chumba, sikutaka kuamini, ikanibidi siku moja nifanye kusadiri kwenda kumtembelea kimya kimya bila taarifa, nikafika akanipokea vizuri. Ilipofika usiku nikamwambia sasa mpenzi unaweza kunihakikishia huku huna mchezo wowote mchafu wa kimahusiano? Akanijibu hapana kabisa mpenzi wangu naomba uniamini.

Nikamuuliza, Je, unaweza kunipa simu yako nikague chochote? Akapata kigugumizi sanaaaaa, nikamuuliza Unanipenda na unajiamini? Akajibu ndio, nikamwambia bas naomba simu yako, akapata kigugumizi kizito sanaaa.

Basi ikanibidi nichukue simu yake nipitie sms na whatsap, aseee niliyoyakuta ni mazito mnooooooo wallahi Nimepata simanzi kubwa sanaaa, ikanibidi niondoke usiku huo huo kwenda kutafta Lodge nikalala na kesho nikaondoka kurudi kazini.

Mchumba wangu huyu nilikua nimeshafahamiana na ndugu zake baadhi na mama yake mzazi alikua ananijua kwa picha tu na alikua tayari karidhia niwewe mkwe wake kabla hata sijaenda kujitambulisha maana matendo niliyomfanyia mwane ni mwanaume mwenye malengo mazuri wazi wazi. Kinachoniuma zaidi ni kwamba nimetumia muda mwingi sanaaa kumjenga kiimani, kumjenga juu ya tabia za wanaume wenye tamaa, kiukweli niliamini huyu mwanamke sasa hakuna atakae weza kumshawishi maana hata mimi binafsi nilikua nimebadilika sanaaa kitabia sikuwa nnahamu na michepuko tena niliona sasa huu ni muda wa kutulia na mwanamke mmoja sina haja ya kutanga tanga na dunia ya leo.

Ndugu zangu niko serious sanaaa, naombeni ushauri cha kufanya, mwanamke huyu alikua anatembea na kijana wa mwenye nyumba tena kwa kulala nae chumbani kwake karibu kila wiki.

Mwanamke alionesha sanaaa kunipenda tulikua tunawasiliana kila siku zaidi ya mara 5 kila siku ya Mungu. Leo naona dunia imenigeuka, nina maumivu makali sanaaaa, niliplan nije kumtambulisha kwetu mwaka huu December, na kwao ningeenda kujitambulisha November ili mwakani Mungu akijaalia tufunge Ndoa. Wakuu, niko gizani, nina msongo wa mawazo, mimi ni jasiri sanaaa lakini nakuomba wewe ndugu yangu ushauri wako katika hili, nakuomba usinitukane wala kunikejeli maana utaniongezea majonzi makubwa.

Naamini thread yangu hii itawafunza na wengine watakao kumbwa na mkasa kama wangu.
ASANTE kwa Muda wako

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa demu wa kimbulu hiyo sio sababu ya kumuacha hata kwao kijijini mbulu hawanaga kesi za kuchepuka ni jambo la kawaida kwao

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom