Mchumba wangu kanisaliti!! Niko kwenye maumivu makali naombeni ushauri

Unajua ni vizuri kufahamu kwanini mwenzako amekupenda japo ni ngumu sana. Nilichogundua huyo bibie ulikuwa unamtimizia mahitaji ya kifedha zaidi kuliko ya kimapenzi ndio maana alipopata hyo kazi akaona huna umuhimu kwa kiasi kubwa km zamani so akapata mtaalam wa kukata kiu yake ya kimapenzi. Anyway achana naye huyo vumilia tu yatapita. But next time ukipata mtu mwingine usirudie kosa. HAKIKISHA UNAKATA KIU KWELI KWELI!
Download playlist moja ya reggae inaitwa Lovers Reggae rhythm 2014 uuguze machungu vizuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo huwa hamfuati zile gentlemen codes a.k.a bro codes...... Umevunja ile code ya "mwanamke hasomeshwi, utaja jinyonga", unaona sasa unavopata tabu?


Pia inaonekana hukumshika huyo binti kisawa sawa psychologically, ulikazana kumlisha maneno ya theory za maisha tuu ambazo hazina nguvu mbele ya temptation ya mapenzi. Ulichotakiwa kufanya ni kumpa show ya kihuni huyo mchumba wako ili siku akichepuka aone km aliyechepuka naye kampaka kinyaa tuu na hiyo ingefanya asiwe na hamu na mwanaume yyte zaidi yako.

Ushauri wangu ni huu: Jipe muda kabla hukafanya uamuzi woote juu yake, ili uone na yeye atakuwa na lipi la kusema.
Nakushukuru Bro

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole Sana mkuu. Mshukuru Mungu amekuonyesha uhalisia wa mambo kabla hamjafunga ndoa, njia rahisi ya kumsahau ni kufanya assumption kwamba amekufa na hutomuona tena, ukianza kuwaza muda uliowekeza kwake lazima utarudisha moyo nyuma au kujenga chuki, jambo ambalo halina faida kwako. Mapenzi ni Kama Maua, huchanua na kunyauka. Yamenyauka.
Asante sanaaa ndugu yangu, ushauru mzuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fimbo ya mbali (...............)


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Huyo ulimkosea kuanzia mwanzo. Ulimuendea kistaarabu mno na ukawa mpole mno. Dalili mojawapo ni kukaa mwaka bila papuchi...

Wanawake hawapendi nice guys mkuu. Hata kama ni muoaji, be a man. Kuwa na misimamo. Usifuate matakwa yake muda wote, be a priority to yourself.

Muendeshe. Demand utmost respect. Usionyeshe kumuamini. Onyesha kuwa una options na sio kwamba yeye ndio kila kitu kwako. Mwambie kuwa she is highly replaceable hivyo akijiskia at any time anaweza kuondoka.

Mmiliki, lakini be confident. Usimfuatilie mawasiliano yake na nyendo zake. Na ukigundua kitu kwenye simu yake, usimwambie. Basically ingekuwa mahakamani tungesema whatever you find in her phone is inadmissible evidence.

Hakuna principle moja kwamba ukimpa mwanamke kitu flani atatulia. No man knows what women want. Neither do themselves. Neither does God, hata akasema tuishi nao kwa akili.

Hizo principles nilizokupa zitakukinga dhidi ya upuuzi wa hawa viumbe in the future. Your sanity is more important than sex and affection.

Huyo hata ukimsamehe, nakuasi usirudiane naye. Ameshakumark weakness yako. Alianza kukupush limits zako kidogo kidogo na ameshazisogeza sana. Hakufai tena.

Kila mtu ana namna yake ya kudeal na heartbreak. Do what a nigga's got to do.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana mkuu, vipi baada ya kugundua hayo reaction ya mwanamke ilikuwaje au ipoje? Anajutia? Kama ndio kaama umuulize kwanini kafanya hayo muyazungumze kama bado unampemda msamehe muendelee. Kama hajutii basi endelea na maisha yako kuumiza na kuumizwa na sehemu ya maisha wewe sio wa kwanza na hautakuwa wa mwisho hivo maisha ni lazima yaendelee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo ulimkosea kuanzia mwanzo. Ulimuendea kistaarabu mno na ukawa mpole mno. Dalili mojawapo ni kukaa mwaka bila papuchi...

Wanawake hawapendi nice guys mkuu. Hata kama ni muoaji, be a man. Kuwa na misimamo. Usifuate matakwa yake muda wote, be a priority to yourself.

Muendeshe. Demand utmost respect. Usionyeshe kumuamini. Onyesha kuwa una options na sio kwamba yeye ndio kila kitu kwako. Mwambie kuwa she is highly replaceable hivyo akijiskia at any time anaweza kuondoka.

Mmiliki, lakini be confident. Usimfuatilie mawasiliano yake na nyendo zake. Na ukigundua kitu kwenye simu yake, usimwambie. Basically ingekuwa mahakamani tungesema whatever you find in her phone is inadmissible evidence.

Hakuna principle moja kwamba ukimpa mwanamke kitu flani atatulia. No man knows what women want. Neither do themselves. Neither does God, hata akasema tuishi nao kwa akili.

Hizo principles nilizokupa zitakukinga dhidi ya upuuzi wa hawa viumbe in the future. Your sanity is more important than sex and affection.

Huyo hata ukimsamehe, nakuasi usirudiane naye. Ameshakumark weakness yako. Alianza kukupush limits zako kidogo kidogo na ameshazisogeza sana. Hakufai tena.

Kila mtu ana namna yake ya kudeal na heartbreak. Do what a nigga's got to do.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakushukuru sanaa Brazaa, umenipa Courage ya Ajabu, najisikia faraja Moyoni.
Natamani hata tufahamiane Mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana mkuu, vipi baada ya kugundua hayo reaction ya mwanamke ilikuwaje au ipoje? Anajutia? Kama ndio kaama umuulize kwanini kafanya hayo muyazungumze kama bado unampemda msamehe muendelee. Kama hajutii basi endelea na maisha yako kuumiza na kuumizwa na sehemu ya maisha wewe sio wa kwanza na hautakuwa wa mwisho hivo maisha ni lazima yaendelee

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sanaa Kaka, baada ya kugundua analia tu hata kazini haendi na anaomba msamaha sanaa kupitia dada ake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikamuuliza, Je, unaweza kunipa simu yako nikague chochote? Akapata kigugumizi sanaaaaa, nikamuuliza Unanipenda na unajiamini? Akajibu ndio, nikamwambia bas naomba simu yako, akapata kigugumizi kizito sanaaa. Basi ikanibidi nichukue simu yake nipitie sms na whatsap

Ulichokitafuta ulikipata
kwenye swala la maamuzi nikuachie u hii kauli

"Ile sauti uisikiayo ndani ya Moyo wako ndio inaitwa UKWELI" so ifuate hyohyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom