G.T.L
JF-Expert Member
- Jul 15, 2012
- 777
- 1,267
- Thread starter
- #161
Nawashukuru sana wote mliolichukua swala langu kwa uzito, naamini wapo wengi nyuma yangu wamefaidika na mawazo yenu, Sasa naona imebaki mimi mwenyewe kufanya maamuzi. JF ni sehemu muhimu sanaaa katika maisha ya leo. Sijamshirikisha ndugu yangu yoyote hili jambo nikaona JF ni sehemu salama na madhubuti kwangu kupata ushauri. Much Appreciation
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app