Mimi ni mwanaume mwenye miaka 28,sijashindwa kumpata mke huko mitaani ila watu waliopo humu ni walewale waliomo mitaani, tena unaweza kukuta unaumiza kichwa binti unayemuona mtaani kumbe hata hajielewi,kwahivo ni bora kuweka bandiko hapa ambalo linaweza kuleta mtu mzuri zaidi,
Sifa zake
Umri 23-29
Elimu kuanzia form four kwenda juu, hata akiwa na masterz sawa tu
Anayejielewa
Mwajiriwa au aliyejiajiri
Kabila lolote
Nicheki pm
Sifa zake
Umri 23-29
Elimu kuanzia form four kwenda juu, hata akiwa na masterz sawa tu
Anayejielewa
Mwajiriwa au aliyejiajiri
Kabila lolote
Nicheki pm