Nataraji kufunga ndoa katikati ya mwaka ujao mjini Dodoma na mchumba wangu tuliyedumu naye kwenye urafiki kwa muda wa miaka 4 sasa, tatizo limekuja baada ya kwenda kupima na mwenzangu amekutwa tayari ni muaathirika wa virusi, nampenda binti huyu na natamani kuishi naye kwa mapenzi ya dhati.
Naombeni ushauri kama naweza kumuoa nami nikawa salama kipindi chote cha uhai wetu.
Naombeni ushauri kama naweza kumuoa nami nikawa salama kipindi chote cha uhai wetu.