Wana JF jamani mwenzenu namchumba mkinga hawa kiasili wako vip? maana baadhi ya makabila yanavitu na tamaduni zinazosumbua kwenye familia.
Moja ya sifa kuu ya wakinga ni washirikina hasa kwenye masuala ya biashara, lakini si wote hopefully wa kwako atakuwa si mshirikina.
umejuaje ?