Mchumba (binti) anatafutwa

raia_mwema

JF-Expert Member
Oct 10, 2012
479
313
kwa niaba ya rafiki yangu naomba kuleta ombi hili kwa wadada wote
  • jamaa ana miaka 29
  • ni mfanyakazi
  • mrefu wastani
  • mweupe
  • amehitimu chuo kikuu
  • mkristo
  • anaishi dar es salaam
anatafuta mwanadada mweupe/maji ya kunde, awe amesoma angalau diploma, mkristo, mrefu wa wastani, umri usizidi 26!
kwa yeyote ani-pm nitamuunganisha na jamaa!
ni serious na uwe tayari kwenda kupima
 
kwa niaba ya rafiki yangu naomba kuleta ombi hili kwa wadada wote
  • jamaa ana miaka 29
  • ni mfanyakazi
  • mrefu wastani
  • mweupe
  • amehitimu chuo kikuu
  • mkristo
  • anaishi dar es salaam
anatafuta mwanadada mweupe/maji ya kunde, awe amesoma angalau diploma, mkristo, mrefu wa wastani, umri usizidi 26!
kwa yeyote ani-pm nitamuunganisha na jamaa!
ni serious na uwe tayari kwenda kupima

Kama kutongoza live kashindwa.., hata kuandika pia?!
Anyways mjumbe hauawi, ila ingekuwa vizuri aje mwenyewe ajibu maswali yatokanayo na mtindiko wake hapo juu.
 
Aisee! Nimekua disqualified hapo kwenye rangi, otherwise ninge ku pm
 
Hii imeanza tena wababa kutongozea watoto wao..... Huyo jamaa atakuwa ndezi haswa,,, tena huyo mchumba lazima umpelekee chumbani tena taa ikiwa imezimwa la sivyo atakimbia kwa aibu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom