MCHUMBA ANATAFUTWA

Kingeke Mavoya

JF-Expert Member
Jan 27, 2017
619
593
Habari zenu wakuu, natumai hamjambo kabla ya yote ningeomba tusaidiane hili la kutafuta wachumba kwamba asilimia kubwa ya wanaume wakitafuta wachumba hua wanazungumzia sana tabia nzuri na hofu ya mungu ila wadada lazima wazungumzie kuhusu kazi nzuri au elimu ya chuo dgree, diploma nk

Sasa naomba kuuliza kwamba ina maana watu ambao hawajaenda chuoni hawana dgree diploma wala kazi nzuri hawaoi? Najiuliza nakosa jibu ila chakushangaza nikiangalia kwa uhalisia wale ambao hawana utajiri wala elimu kubwa ndio wenye kudumu kwenye ndoa..

Hebu tusaidiane vijana wenzangu mnaojua zaidi kuhusu hili
 
Issue nni ndogo! Mwanaume ukioa mwanamke aliyesoma ilhali wewe hujasoma au una elimu ndogo, Mara nyingi kuna inferiority complex huwa inawakumba wanaume waliowengi!
Mkeo anaweza akajichanganya kidogo akakukwaza tayari mawazo yanakupeleka kama aninifanyia hivi kisa elimu yake!

Sasa kuepuka hilo Dada zetu wanaweka kigezo cha kutafuta aliyesoma ili kipunguza migogoro isiyo ya lazima
 
Kichwa cha habar hakiendani na uliyoandika!
btw we hujasoma? Kama huna digirii wala dipuloma me nakutaka mana me pia sijasoma
Huu utani sasa, huoni aibu kusema hujasoma wakati unajua ku-log in jf!?
 
Kichwa cha habar hakiendani na uliyoandika!
btw we hujasoma? Kama huna digirii wala dipuloma me nakutaka mana me pia sijasoma
Nimetumia akili ya darasa la saba bila hivyo usingeingia na hata motoni utaingia kwakuona njia imepambwa ila ukifka ndani motooo kutoka ng'oo
 
Issue nni ndogo! Mwanaume ukioa mwanamke aliyesoma ilhali wewe hujasoma au una elimu ndogo, Mara nyingi kuna inferiority complex huwa inawakumba wanaume waliowengi!
Mkeo anaweza akajichanganya kidogo akakukwaza tayari mawazo yanakupeleka kama aninifanyia hivi kisa elimu yake!

Sasa kuepuka hilo Dada zetu wanaweka kigezo cha kutafuta aliyesoma ili kipunguza migogoro isiyo ya lazima
Sasa kama mwanaume yeye kasoma iweje amuoe huyo ambaye hajasoma wakati yeye msomi..

Na imeandikwa "utapata wakufanana nae"
 
Kichwa cha habar hakiendani na uliyoandika!
btw we hujasoma? Kama huna digirii wala dipuloma me nakutaka mana me pia sijasoma
wewe memkwa unazingua, umejuaje kichwa hakiendani na kilichoandikwa. Wewe utakuwa profesa lipumba
 
Habari zenu wakuu, natumai hamjambo kabla ya yote ningeomba tusaidiane hili la kutafuta wachumba kwamba asilimia kubwa ya wanaume wakitafuta wachumba hua wanazungumzia sana tabia nzuri na hofu ya mungu ila wadada lazima wazungumzie kuhusu kazi nzuri au elimu ya chuo dgree, diploma nk

Sasa naomba kuuliza kwamba ina maana watu ambao hawajaenda chuoni hawana dgree diploma wala kazi nzuri hawaoi? Najiuliza nakosa jibu ila chakushangaza nikiangalia kwa uhalisia wale ambao hawana utajiri wala elimu kubwa ndio wenye kudumu kwenye ndoa..

Hebu tusaidiane vijana wenzangu mnaojua zaidi kuhusu hili
Ukiona mtu anafananisha kuolewa ni sawa na ajira ujue hapo hamna kitu....
 
Habari zenu wakuu, natumai hamjambo kabla ya yote ningeomba tusaidiane hili la kutafuta wachumba kwamba asilimia kubwa ya wanaume wakitafuta wachumba hua wanazungumzia sana tabia nzuri na hofu ya mungu ila wadada lazima wazungumzie kuhusu kazi nzuri au elimu ya chuo dgree, diploma nk

Sasa naomba kuuliza kwamba ina maana watu ambao hawajaenda chuoni hawana dgree diploma wala kazi nzuri hawaoi? Najiuliza nakosa jibu ila chakushangaza nikiangalia kwa uhalisia wale ambao hawana utajiri wala elimu kubwa ndio wenye kudumu kwenye ndoa..

Hebu tusaidiane vijana wenzangu mnaojua zaidi kuhusu hili
Kama huna diploma wala degree basi uwe na pesa au maisha yatakayomhakikishia binti ataishi bila kuhesabu paa kwa njaa.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom