Mchuma Mpya wa Davis Mosha:2013 LUMMA CLRR Range Rover Supercharged

King Kong III

JF-Expert Member
Oct 15, 2010
51,328
67,754
DAVIS 2.jpg
DAVIS 23.jpg
DAVIS 3.jpg
 
lakini nasikia huyu jamaa ni mmoja ya wanaosababisha vijana wetu kufungwa nje ya nchi. ni mshirika mkubwa wa riz na riz aliingia kichwa kichwa akashikwa china.
 
Hivi yule ndugu yake kwa jina la Chale alikuwa ga mwehu flan hivi ashapona???Huyu jamaa sijui yupo nyuma ya kigogo gani?
 
Mpambe wa Riz1,utajiri ameupata mara baada tuu ya JK kuingia madarakani,ukimuuliza amepataje utajiri huo atakuambia malori ya kusafirsha mafuta wakati wapo akina KUGI's miaka nenda rudi wanafanya biashara hiyo hawajakua na pesa hizo.Na ni kawaida ya mtu anayepata pesa bila jasho ndiyo huchezea hivyo maana hata kuna gari ya mtoto wa Bakheresa aliinunua huyu jamaa.Ila kwa Manji aligonga mwamba na kutimuliwa Yanga
 
Mpambe wa Riz1,utajiri ameupata mara baada tuu ya JK kuingia madarakani,ukimuuliza amepataje utajiri huo atakuambia malori ya kusafirsha mafuta wakati wapo akina KUGI's miaka nenda rudi wanafanya biashara hiyo hawajakua na pesa hizo.Na ni kawaida ya mtu anayepata pesa bila jasho ndiyo huchezea hivyo maana hata kuna gari ya mtoto wa Bakheresa aliinunua huyu jamaa.Ila kwa Manji aligonga mwamba na kutimuliwa Yanga
DAVIS MOSHA LAMBO.JPG

Waanhe Braaaaaa.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom