Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,468
- 113,583
Pole sana MF. Naelewa uchungu wa kufiwa na baba. Mwanzo ni ngumu kukubali. Kubali tuu maana ni kazi ya Mungu na atakutia nguvu na yote yatapita na yatakwisha.
RIP Baba wa MF.
RIP Baba wa MF.